DK. NDUGULILE ATOA MAAGIZO KWA AFISA MICHEZO KIGAMBONI VIWANJA VYA MICHEZO VYOTE KUENDELEZWA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MBUNGE wa Kigamboni Dk.Faustine Ndugulile amekipongeza Chama cha Mpira wa miguu Kigamboni (KDFA) kwa kuandaa mashindano mazuri ya veterans.
Apongeza...
HAKIMI ATOA MISAADA YA ZAIDI YA BILIONI MOJA KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM
Na John Mapepele
MCHEZAJI wa kimataifa wa soka kutoka Morocco anayechezea timu ya PSG, Archraf Hakimi leo ametoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi zaidi...
RAIS DK.SAMIA AMKABIDHI KARIA MFANO WA HUNDI MILIONI 500.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia mfano wa...
WAFANYAKAZI WA TANESCO PWANI WAFANYA BONANZA LA MICHEZO LA KUPONGEZANA KWA KAZI
Pwani
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani wamefanya bonanza la michezo mbalimbali ikiwa ni kwa lengo la kupongezana kwa kazi,...
YANGA SC YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA MAMELODI SUNDOWNS, YATOKA SARE 0-0
Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital
KLABU ya Yanga imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kulazimishwa sare na Mamelodi Sundowns 0-0.
Katika...
TANZANIA KUANZA MATUMIZI YA VAR KATIKA LIGI KUU BARA.
Na Mwandishi wetu
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema vifaa vya kiteknolojia kwa ajili ya kuwasaidia waamuzi yani "Video...
DK. TULIA AWAJULIA HALI MAJERUHI MASHABIKI WA SIMBA
Na Mwandishi wetu, Chalinze
RAIS wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson,...
TAIFA STARS YANG’ARA KIMATAIFA YASHINDA 3-0.
Na Mwandishi wetu
HATIMAE ya Taifa ya Tanzania imepeta kimataifa kwa kupata ushindi wa 3-0 Mongolia (Kelvin 49’ Sopu 63’ Novatus 76’) kwenye mchezo...
FIFA YAIFUNGUIA YANGA KUFANYA USAJILI,TFF NAYO YASHINDILIA MSUMARI.
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
KLABU ya Young Africans iliyoko Ligi Kuu imefungiwa kufanya usajili kwa kukiuka kanuni za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa...
MUHIMBILI YAJIDHATITI KWA UCHUNGUZI NA MATIBABU AFCON
Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (Upanga & Mloganzila) imejiandaa kikamilifu katika kutoa huduma za uchunguzi na matibabu kwa wachezaji watakaoshiriki mashindano ya...