Trending Now
KITAIFA
Waziri Mkuu azindua miradi ya shilingi bilioni114 ya utalii
Na Mwandishi Wetu,Pwani
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Shillingi billioni 114.62.
Amesema ujenzi wa Miradi hiyo...
KIMATAIFA
Wadau na taasisi za fedha za duniani waonesha utayari wa kushirikiana...
▪️Benki ya Dunia yafurahishwa na mchango wa Sekta ya Madini wa kuchochea Uchumi Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Afrika Kusini
SEKTA ya Madini Tanzania kupitia Kongamano...
MICHEZO
Dk.Mwigulu aongoza kikao cha kamati ya kitaifa ya AFCON 2027
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027)...
POPULAR VIDEO
TMA YATOA TAARIFA YA MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA
Dar es salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema Mvua za Masika zinatarajiwa kuanza mwezi Machi 2025 katika maeneo yanayopata misimu miwili ya...








































