Rais Dk.Samia aipongeza simba
Hongereni sana Klabu ya Simba kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mafanikio yenu si tu furaha na fahari...
UFUNGUZI WA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Tabora ambapo atafungua mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Sekondari (UMISSETA)...
MAJALIWA: MIUNDOMBINU YA MICHEZO KUENDELEA KUBORESHWA
Tabora
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule teule 56 nchini.
Amesema hadi kufikia Machi 2024...
BASHUNGWA CUP 2024 KUANZA KURINDIMA MWEZI JULAI
Na Mathias Canal, Karagwe-Kagera
MASHINDANO ya mpira wa miguu yaliyopewa jina la "BASHUNGWA CUP 2024" yataanza kurindima mwanzoni mwa mwezi Julai 2024 katika Wilaya ya...
RAIS DK.MWINYI AWAKABIDHI SIMBA UBINGWA WA MUUNGANO
Na Mwandishi wetu,Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amewakabidhi timu ya Simba shilingi milioni 50 ambayo ni...
DK. NDUMBARO AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMUSTA.
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Chama cha Maafisa Utamaduni...
DK. TULIA AWAJULIA HALI MAJERUHI MASHABIKI WA SIMBA
Na Mwandishi wetu, Chalinze
RAIS wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson,...
MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA – MAJALIWA
Na Mwandishi wetu, Mbeya
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani, ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa...
WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027)...
MAJALIWA MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika...