BASHUNGWA CUP 2024 KUANZA KURINDIMA MWEZI JULAI
Na Mathias Canal, Karagwe-Kagera
MASHINDANO ya mpira wa miguu yaliyopewa jina la "BASHUNGWA CUP 2024" yataanza kurindima mwanzoni mwa mwezi Julai 2024 katika Wilaya ya...
WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027)...
QWIHAYA MGENI RASMI FAINALI YA RAMADHANI CUP 2024.
Na Mwandishi wetu, Mwanza
MJUMBE wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa CCM, Leonard Qwihaya alikuwa Mgeni Rasmi katika Fainali ya Ramadhani cup...
TANZANIA NA IVORY COAST ZAINGIA RASMI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA MICHEZO
Na, Brown Jonas WUSM, Dar es Salaam.
WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Michezo ya Ivory coast...
YANGA TAWI LA MUSOMA WACHANGIA DAMU NA KUTOA MSAADA HOSPITAL MANSPAA YA MUSOMA
Na Shomari Binda, Musoma
WANACHAMA na mashabiki wa timu ya Yanga kwa kushirikiana na benki ya NBC tawi la Musoma wamechangia damu na kutoa msaada...
WAFANYAKAZI WA TANESCO PWANI WAFANYA BONANZA LA MICHEZO LA KUPONGEZANA KWA KAZI
Pwani
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani wamefanya bonanza la michezo mbalimbali ikiwa ni kwa lengo la kupongezana kwa kazi,...
TAIFA STARS YANG’ARA KIMATAIFA YASHINDA 3-0.
Na Mwandishi wetu
HATIMAE ya Taifa ya Tanzania imepeta kimataifa kwa kupata ushindi wa 3-0 Mongolia (Kelvin 49’ Sopu 63’ Novatus 76’) kwenye mchezo...
DK. NDUMBARO AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMUSTA.
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Chama cha Maafisa Utamaduni...
RAIS DK.MWINYI AWAKABIDHI SIMBA UBINGWA WA MUUNGANO
Na Mwandishi wetu,Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amewakabidhi timu ya Simba shilingi milioni 50 ambayo ni...
YANGA SC YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA MAMELODI SUNDOWNS, YATOKA SARE 0-0
Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital
KLABU ya Yanga imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kulazimishwa sare na Mamelodi Sundowns 0-0.
Katika...