WAFANYAKAZI WA TANESCO PWANI WAFANYA BONANZA LA MICHEZO LA KUPONGEZANA KWA KAZI
Pwani
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani wamefanya bonanza la michezo mbalimbali ikiwa ni kwa lengo la kupongezana kwa kazi,...
DK.STERGOMENA AKABIDHIWA JEZI YA TIMU YA MASHUJAA FC
Dar es Salaam
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stergomena Lawrence Tax Oktoba, 2 2024 amekabidhiwa jezi ya Timu...
MICHUANO YA SHIMIWI KUFANYIKA SEPTEMBA 2024
Dodoma
MAANDALIZI ya michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yameanza ambapo Kamati ya Utendaji imependekeza michuano hiyo kufanyika...
MSHIKAMANO FC YATINGA FAINALI POLISI JAMII CUP 2024 MUSOMA
Na Shomari Binda-Musoma
TIMU ya Mshikamano fc imetinga fainali ya michuano ya Polisi Jamii Cup 2024 Musoma kwa kuifunga timu ya Kigera fc kwa changamoto...
TANZANIA KUANZA MATUMIZI YA VAR KATIKA LIGI KUU BARA.
Na Mwandishi wetu
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema vifaa vya kiteknolojia kwa ajili ya kuwasaidia waamuzi yani "Video...
MBUNGE MATHAYO AKABIDHI NG’OMBE,MIPIRA NA FEDHA MASHINDANO POLISI JAMII CUP MUSOMA
Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo leo agosti 15 amekabidhi ng'ombe, mipira 16 na fedha kiasi cha shilingi laki 2 kwaajili ya...
QWIHAYA MGENI RASMI FAINALI YA RAMADHANI CUP 2024.
Na Mwandishi wetu, Mwanza
MJUMBE wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa CCM, Leonard Qwihaya alikuwa Mgeni Rasmi katika Fainali ya Ramadhani cup...
YANGA YAACHANA NA KOCHA WAKE RAMOVIC, YAMTANGAZA KOCHA MPYA MILOUD HAMD KUSHIKA MIKOBA
Dar es Salaam
KLABU ya Yanga Wana Jangnwani usiku huu wa saa Nne kamili, 4 Februari, 2025 wametoa taarifa rasmi kwa Umma juu ya...
LAKE VICTORIA FC YASHEREHEKEA MIAKA 60 YA JESHI LA POLISI KWA USHINDI MASHINDANO YA...
Na Shomari Binda-Musoma
TIMU ya Lake Victoria imesherehekea miaka 60 ya jeshi la polisi kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Kamnyonge kwenye...
YANGA SC YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA MAMELODI SUNDOWNS, YATOKA SARE 0-0
Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital
KLABU ya Yanga imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kulazimishwa sare na Mamelodi Sundowns 0-0.
Katika...