WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATUMISHI GST KUCHAPA KAZI

GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini,...

”KILA LA HERI, KAZI NJEMA”

Na Mwandishi wetu, Ruvuma KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akipunga mkono kuwaaga mamia ya wananchi, walioongozwa...

JNHPP KUKAMILIKA DESEMBA

Na Mwandishi wetu,Dodoma SERIKALI imesema imeanza uzalishaji wa umeme kupitia mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa Julius Nyerere (JNHPP) wenye uwezo wa...

RAIS DK.SAMIA AWATUNUKU NISHANI VIONGOZI MBALIMBALI WAKATI SHAMRASHAMRA ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya Kuwatunuku Nishani Viongozi...

*TAKUKURU PWANI  YAONGEZA MAPATO MACHINJIO MTAKUJA YA KIBAHA MKOANI PWANI

Na Mwandishi wetu,  Pwani TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani imefanya uchambuzi  wa mfumo  wa ukusanyaji  wa...

SERIKALI KUIMARISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

📌 Majiko banifu kusambazwa Kaya za Vijiji na Vijiji-Miji 📌 Wazalishaji wa mkaa mbadala kupewa ruzuku Na Mwandishi wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri...

TARURA RUKWA YABORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Mwandishi wetu, Rukwa WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa kujenga barabara, vivuko na madaraja...

RC CHALAMILA DAR IKO SALAMA

-Awatoa hofu wananchi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo April 23, 2024...

BAJETI YA MATENGENEZO MIUNDOMBINU YA UMEME KUENDELEA KUONGEZWA KILA MWAKA- KAPINGA

📌 Shilingi Bilioni 109.8 zatumika mwaka 2023/2024 Na Mwandishi wetu, Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa, Serikali kupitia Shirika la...

HAKIELIMU IMETOA RAI KWA SERIKALI KUTENGA BAJETI YA KUTOSHA 2024/25 KATIKA SEKTA YA ELIMU

Na Sophia Kingimali. TAASISI ya Hakielimu nchini imetoa rai kwa serikali kutenga bajeti ya kutosha 2024/2025 katika sekta ya elimu ili kuwezesha kushabihisha bajeti hiyo...