VETA KUADHIMISHA MIAKA 30 NA 50 YA ELIMU YA UFUNDI
Dar es Salaam
MAADHIMISHO ya miaka 50 ya Mfumo wa Kitaifa wa Serikali ya Taasisi ya Kusimamia Ufundi Stadi pamoja na miaka 30 ya...
MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BWAWA LA KIDUNDA.
Morogoro
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 05, 2025 Mkoani Morogoro ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa Bwawa la Kidunga litakalokuwa...
DK. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
π Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia
π Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini
πAmpongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO...
AFRIKA TUNAYAPA KIPAUMBLE MATUMIZI YA NISHATI SAFI ILI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI-DK.BITEKO
π Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi
π Afungua Mkutano wa Awali EAPCE'25
π Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi...
TANZANIA YAPOKEA FARU WEUPE KUTOKA AFRIKA KUSINI
β Lengo ni kuimarisha uhifadhi nchini
Na Happiness Shayo - Ngorongoro
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya...
KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
π Wizara ya Nishati yajivunia jitihada katika kulinda haki, usawa na kuwawezesha wanawake
π Kapinga asema lengo ni kuboresha ustawi wa mwanamke na kuongeza thamani...
TPDC YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA KITUO MAMA CHA KUJAZAJI GESI CHA MLIMANI
Dar es Salaam
MWaKILISHI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Paul Makanza, ameongoza ukaguzi wa maendeleo ya mradi...
RC KANALI MTAMBI AONGOZA HAFLA YA JESHI LA POLISI UTOAJI TUZO KWA ASKARI NA...
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi ameongoza hafla ya Polisi Family Day mkoa wa Mara iliyoambatana na utoaji tuzo kwa...
VIJANA WA KIKE FEDHA MNAZOPATA MZITUMIE PIA KATIKA UWEKEZAJI- MKURUGENZI UTAWALA NISHATI
π Asema inaongeza kujiamini
π Asema Wizara ya Nishati inaiishi kaulimbiu ya Siku ya Wanawake Duniani 2025
Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Utawala na Rasilimali Watu...
WAHIFADHI WANAWAKE WA TAWA WATEMBELEA PORI LA AKIBA WAMI-MBIKI
π Wahamasisha utalii wa ndani
Morogoro.
KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake , wahifadhi wanawake wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapaori Tanzania (TAWA) wametembelea...