WAZIRI WA ULINZI NA JKT AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA ULINZI WA BRAZIL

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stergomena Tax Mei, 17 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa...

WATANZANIA 32000 WANAPOTEZA MAISHA HAWATUMII NISHATI SAFI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Dk. Seleman Jafo amesema takwimu zinaonesha takribani ya watanzania 32000...

SMZ INATHAMINI MCHANGO WA CRDB KATIKA KUKUZA UCHUMI-DK.MWINYI

Na Mwandishi wetu. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi .Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inathamini sana mchango wa Benki ya CRDB...

SECRETO DIVAS WAMEANDAA KONGAMANO KUWAKUTANISHA PAMOJA WAJASIRIAMALI

Na Sophia Kingimali. TAASISI ya umoja wa wanawake wa jasiliamali nchini (Secreto Divas)wameandaa kongamano kubwa lenye lengo la kuwakutanisha pamoja wajasiliamali wanawake wakubwa na wa...

CHATANDA AWAHIMIZA WAKANDARASI WANAWAKE KUCHANGAMKIA FURSA YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Na Mwandishi wetu, Dodoma MWENYEKITI wa Umoja wa wanawake Tanzania(UWT), Mary Chatanda amewahimiza Wakandarasi wanawake kuchangamkia Fursa ya Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na...

TANZANIA IMEPIGA HATUA KWENYE MAWASILIANO – MAJALIWA

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na...

WAZIRI MKUU AFANYA MAZUNGUMZO NA IGP

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 16, 2024 amefanya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camillus Wambura, Ofisini kwa Waziri Mkuu...

WAZIRI MKUU AKIJIBU MASWALI YA PAPO KWA PAPO BUNGENI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijibu Maswali ya wabunge wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo Bungeni jijini Dodoma, Mei 16, 2024. Waziri Mkuu...

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD

Na Saidina Msangi, Dodoma. SERIKALI imesema kuwa taratibu za kikodi zimebainisha kwamba, mfanyabiashara yeyote mwenye mauzo ghafi yenye kiasi cha shilingi milioni kumi na...

USAFIRI WA ANGA NI KICHOCHEO CHA UKUAJI UCHUMI-DK.MWINYI

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika...