RAIS DK.SAMIA ANATARAJIA KUWA MWENYEKITI WA MAADHIMISHO MIAKA 20 YA BARAZA LA AMANI...

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital TANZANIA imetajwa kuwa kitovu cha harakati za ukombozi barani Afrika katika masula ya amanim ulinzi na usalama. Pia Rais Dk. Samia...

WATENDAJI WIZARA YA NISHATI NA TAASISI WAPATA MAFUNZO YA MFUMO WA PEPMIS NA PIPMIS

📌 Wakurugenzi, Wakuu wa Idara watakiwa kusimamia vema mfumo wa PEPMIS Na Mwandishi wetu, Dodoma WATENDAJI wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake leo Mei, 22...

MAJALIWA: VYOMBO VYA HABARI VIJIEPUSHE NA TAARIFA ZA UCHOCHEZI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili...

DARAJA LA RUHEMBE LAWAFUTA MACHOZI WANANCHI WA MIKUMI

Na Mwandishi wetu, Mikumi KWA muda mrefu wananchi wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo wameteseka kwa kusafiri umbali mrefu au...

TMA YATOA TAHADHARI MWENENDO KIMBUNGA ” IALY KATIKA BAHARI YA HINDI

Na Mwandishi wetu MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa kuhusu mwenendo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi. Kimbunga hicho...

WAZIRI MKUU ASHIRIKI KONGAMANO LA JUMIKITA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 21, 2024 ni mgeni rasmi katika kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA). Katika Kongamano...

WIKI YA UBUNIFU TOLEO LA 10 KUZINDULIWA MEI 21, DAR ES SALAAM NA KILELE...

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital IMEELEZWA kuwa dunia ya leo inayobadilika kwa kasi ni budi kutengeneza rasilimali kupitia ubunifu ili kusaidia kubadili changamoto na kuwa...

WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KATIKA SEKTA YA MADINI

Na Mwandishi wetu,Arusha WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji katika Sekta ya Madini ili kuupiga jeki uchumi wa taifa kwa kutengeneza ajira na...

SERIKALI IMEANDAA SHERIA YA KUSIMAMIA BEI ZA BIDHAA NA HUDUMA

NaSaidina Msangi, Dodoma SERIKALI imesema imeandaa Sheria na kanuni ili kumlinda mlaji, na kuhakikisha kuwa bei za bidhaa na huduma zinapangwa kwa msingi wa nguvu...

WAZIRI BASHUNGWA AKUTANA NA BALOZI WA URUSI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini, Andrey Avetisyan katika Kituo cha Mikutano...