WAZIRI BASHE AGAWA TREKTA 400, PIKIPIKI 1000 NA BAISKELI 2500 KWA WAKULIMA
Tabora
WAKULIMA wa Zao la Pamba nchini wanatarajia kunufaika na zana za kilimo kufuatia ugawaji wa trekta 400, pikipiki 1000 na baiskeli 2500, boza...
REA YAENDELEA KUTEKELEZA KWA VITENDO MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
📌 Zaidi ya Bilioni 50 kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.
📌 Mitungi ya gesi ya kupikia 452, 445 kusambazwa kwa kwa bei ya...
WAZIRI WA VIWANDA SELEMAN JAFO AKIZINDUA MAONESHO YA CHEMBA YA WAFANYABIASHARA MWANZA
Mwanza
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Seleman Jaffo ameitaka chemba ya Biashara, Vwanda na Kilimo (TCCIA) kuanza maonesho hayo kwa ngazi ya kitaifa...
MAGANYA AKUTANA NA MACHIFU WA MKOA WA MARA NA KUZUNGUMZA NAO
Na Shomari Binda-Musoma
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhili Maganya amekutana na machifu wa mkoa wa Mara na kuzungumza nao.
Katika mazungumzo hayo machifu kupitia...
UVUVI UNAINGIZA SHILINGI TRILIONI 2.94 KWA MWAKA –MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema sekta ya uvuvi inaingiza mapato ya sh. trilioni 2.94 kwa mwaka na imekuwa ikikua kwa wastani...
DK. BITEKO AMFARIJI ANGELAH KAIRUKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 10, 2024, amesaini Kitabu cha Maombolezo kwenye msiba wa Mzee Peter...
WAZIRI MKUU: SUALA LA MAZINGIRA LIWE AJENDA YA KITAIFA
Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa na jukumu la kila mmoja kuanzia ngazi ya familia...
SERIKALI KUVUTIA WAWEKEZAJI UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI- DK. BITEKO
📌 Ashuhudia makabidhiano leseni ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma
📌 Azitaka TPDC na ARA Petroleum kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira
📌 Kitalu cha...
DCEA YAKAMATA KILOGRAMU 1,815 ZA SKANKA
Dar es Salaam
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu 1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika...