“MIMI MWENYE NYUMBA WAKO APA MBONA SIKU ZINAZIDI?” 12 WAFIKISHWA MAHAKAMANI, WAKABILIWA MASHTAKA 32.
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapandisha kizimbani wakazi 12 wa Ifakara, Morogoro akiwemo Barnaba Gidajuri (45) wakikabiliwa na mashtaka ya...
JK KINARA UTAFUTAJI FEDHA ZA KUIMARISHA ELIMU AFRIKA
Na Mwandishi wetu,
RAIS Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE)...
MITAMBO YA KUPIMA UBORA WA BARABARA KULETA MAGEUZI: DK. TULIA
Na Mwandishi wetu, Dodoma
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Akson ameisisitiza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) kuhakikisha miradi yote ya barabara...
DK.MPANGO ATOA MAELEKEZO KWA WAHANDISI WASHAURI KUPITIA UPYA MIKATABA YA UJENZI NA UNUNUZI.
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema upo umuhimu wa kupitia upya vipengele katika nyaraka zinazoandaliwa na Taasisi ya...
DK.MPANGO ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuzindua Sera ya Taifa ya Uchumi...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAPEWA ELIMU KUHUSU UKOKOTOAJI WA...
📌 Yapongeza umakini katika udhibiti
Na Mwandishi Wetu.
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA), imetoa elimu kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu...
BALOZI DK NCHIMBI: MFUMO WA ELIMU UTAWASAIDIA WATANZANIA KUSHINDANA KIMATAIFA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu ya Tanzania...
TANZANIA YASHIKA UKURUGENZI WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA.
Na Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, WF – Nairobi
TANZANIA inatarajia kushika nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji mbadala (Alternative Executive Director) katika Kundi la Magavana wa...
BENKI KUU KUSIMAMIA KANZIDATA YA TAARIFA ZA WAKOPAJI
Na Saidina Msangi,Dodoma.
SERIKALI imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imetoa leseni kwa kampuni mbili za kuchakata taarifa za mikopo, kampuni hizo ni Creditinfo...
MKATABA WA TANESCO NA SONGAS KUMALIZIKA JULAI 2024.
Na Mwandishi wetu Dodoma
SERIKALI imesema kuwa mkataba wa ununuzi wa umeme kati ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na SONGAS utafikia ukomo Julai...