MGOGORO WA MIPAKA PORI LA AKIBA LIPARAMBA WATATULIWA, WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI

Na Beatus Maganja JUHUDI za Serikali za kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi baina ya Hifadhi na wananchi zinaendelea kuzaa matunda baada ya kutatua...

WATAALAM WALIOSTAAFU KUENDELEA KUTUMIKA KATIKA UJENZI NA MATENGENEZO YA BARABARA: BASHUNGWA

WIZARA ya Ujenzi kupitia taasisi zake ERB na TANROADS inaandaa utaratibu wa kutumia wataalam wa ndani waliostaafu katika ujenzi na matengenezo ya barabara. Haya yamebainishwa...

RAIS DK.MWINYI AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUTOKA UFARANSA KUWEKEZA ZANZIBAR

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ametoa wito na kuwakaribisha wafanyabiashara kutoka Ufaransa kuangalia...

RAIS DK.SAMIA AAPISHA WAJUMBE WA TUME YA MAENDELEO YA TAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kuwa Mjumbe wa Tume ya Mipango katika hafla...

TRA TAASISI YA KWANZA KUTAMBUA NGUVU YA DIGITAL PLATFORM📌

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) wamekutana na waandishi wa habari wa mtandaoni katika Semina waliyoiandaa kwa kushirikiana na Jukwaa la Wanahabari wa mtandaoni (JUMIKITA)...

DK. NCHEMBA AIOMBA INDONESIA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUBORESHA MIFUMO YA KODI

Na. Benny Mwaipaja, Dodoma. WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameiomba Indonesia kushirikiana na Tanzania kuboresha mifumo ya kodi ili kuboresha ukusanyaji wa mapato ya...

SERIKALI KUTUMIA VIKAO RASMI KUTOA ELIMU YA FEDHA

Na Josephine Majula, Kagera MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Isaya Mbenje, amesema kuwa Serikali itaanza  kutumia vikao vyake  rasmi  kutoa elimu ya huduma...

WIZARA YA UJENZI IMEJIPANGA KURUDISHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA: BASHUNGWA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema wizara kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kufanya matengenezo makubwa kwa lengo la...

TANZANIA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA MASHARIKI

Na Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, Nairobi- Kenya BENKI ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) imeahidi kuendeleza ushirikiano uliopo kati yake na Tanzania kwa kuendelea...

SERIKALI IPO TAYARI KUTOA FEDHA KUREJERESHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIWA NA MVUA

Na Esther Mnyika@Lajiji Digital  NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila amesema wameshafanya tathimini  ya kurejeresha miundombinu iliyoharibiwa na mvua zinahitaji ...