RAIS DK.MWINYI AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili Jijini Dar es Salaam kuhudhuria dhifa ya chakula...

TANZANIA YASISITIZA MATUMIZI YA KISWAHILI EAC

Dar es Salaam SERIKALI ya Tanzania imeendelea kutoa msisitizo wa matumizi ya lugha ya Kiswahili katika shughuli mbalimbali za Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwemo...

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA TIXON NZUNDA

Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amejumuika pamoja na waombolezaji wengine, kutoa heshima za mwisho...

RAIS DK.SAMIA AMPOKEA RAIS EMBALÒ

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló leo Juni, 22 2024 Ikulu...

TANESCO YAWEZESHA KUANZA KWA UJENZI WA TUTA LA MTO LUMEMO

Na Shamu Lameck, Ifakara SHIRIKA la umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa tuta la kuzuia maji ya mto lumemo uliopo kwenye Halmashauri...

DK.TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WA BENKI YA CRDB

Dodoma SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amekutana na kufanya...

SERIKALI YAONDOA HOFU YA UMEME KUTOFIKA VITONGOJI VYOTE NCHINI

📌 Kapinga asema vitongoji vyote vitasambaziwa umeme 📌 Vituo vya kupoza umeme kujengwa Kilosa, Mbinga na Hanang 📌 Vitongoji 33,000 vyafikiwa na huduma ya umeme 📌 Wakandarasi...

MAJALIWA: TUTAYAENZI MEMA YOTE YALIYOFANYWA NA NZUNDA

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali na Watanzania wataendelea kumkumbuka na kuyaenzi mema yote yaliyoyafanywa na aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa...

WAZIRI KAIRUKI ATOA WITO KWA NCHI WANACHAMA WA AFR100 KUWEKA MIFUMO YA UFUATILIAJI KATIKA...

Na Magrethy Katengu, Dar es salaam WAZIRI wa Maliasili wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki ametoa wito kwa nchi wanachama wa Mkakati wa kuokoa...