DK.MWINYI ANATARAJIWA KUZINDUA TAMASHA LA PILI FAHARI ZANZIBAR.

Zanzibar KAMPUNI ya Airpay Tanzania imedhamini tamasha la pili la fahari ya Zanzibar linalotarajiwa kufanyika Septemba 20 hadi 27 mwaka huu huku Rais wa...

WAZIRI SILAA AKUTANA NA BALOZI WA FINLAND NCHINI TANZANIA, THERESA ZITTING

Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amekutana na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Theresa Zitting, aliye ambatana...

PROGRAMU YA AJIRA SAWA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA SEKTA BINAFSI – WAZIRI DK. GWAJIMA

Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. Dorothy Gwajima amezindua Programu ya Ajira Sawa inayowalenga wanawake walio...

UWEPO WA SGR UNAASHIRIA UTOSHELEVU WA UMEME NCHINI – DK. BITEKO

📌Asema Nishati ya Umeme ya Uhakika Yafungua Fursa za Uchumi 📌Njia Kubwa Zaidi ya Umeme Kujengwa Kutoa Umeme JNHPP hadi Dodoma Dar es Salaam NAIBU Waziri...

BASHE ATANGAZA NEEMA SEKTA YA UMWAGILIAJI SHINYANGA

Shinyanga WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ametembelea mradi wa Umwagilkaji wa Nyida uliopo mkoani Shinyanga wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na kuelekeza...

KAMPUNI YA GAKI INVESTMENT LTD YAPONGEZWA KWA UWEKEZAJI MZURI WENYE TIJA.

Shinyanga KAMPUNI ya GAKI Investment Ltd. inayomilikiwa na Gaspar Kileo, ambaye ni Mkurugenzi yapongezwa kwa uwekezaji mzuri wenye tija kwa kuwa mwekezaji na mnunuzi...

BASHE: UTAFITI NA UZALISHAJI WA MBEGU BORA HUCHANGIA TIJA KWENYE KILIMO

Shinyanga WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema ili kuwa na tija katika kilimo, huduma za Ugani ni muhimu, zikichangiwa na utafiti na uzalishaji wa...

RAIS MWINYI AZINDUA RIPOTI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI ZANZIBAR

GST yakamilisha Utafiti wa Miamba, Udongo na Maji Zanzibar Waziri Mavunde: Ripoti ya Jiolojia Zanzibar itachochea uwekezaji mkubwa Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

TTB KUFANYA ONESHO LA S!TE OKTOBA 11 HADI 13 JIJINI DAR ES SALAAM.

Dar es salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imetarajia kufanya onesho la nane lijulikanalo kama Swahili International Tourism Expo(...

PPAA MGUU SAWA KUTOA ELIMU KWA WAZABUNI KATIKA KANDA

Arusha KATIKA jitihada za kuwafikia wadau wa ununuzi wa umma hususan wazabuni, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeweka mkakati wa kutoa...