SERIKALI ZOTE MBILI BARA NA VISIWANI ZINA VIONGOZI WENGI WANAWAKE: WAZIRI RIZIKI
Esther Mnyika, Dar es Salaam
WAZIRI wa maendeleo ya Jamii kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Riziki Pembe Juma amesema Serikali zote mbili bara na...
KAMANDA MUTAFUNGWA AWATOA HOFU WANAOFUNGUA MADUKA YAO MWANZA.
Mwanza
JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza laendelea kuwahakikishia hali ya usalama wafanyabiashara waliofungua maduka yao nakuendelea na kazi kwa kuongeza doria mtaani.
Mapema hii...
WAZIRI MKUU AKUTANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Juni 26, 2024.
ETDCO YAENDELEA KUJENGA MIUNDO MBINU YA KUSAFIRISHA UMEME MRADI WA TABORA – KATAVI 132kV
Tabora
KAIMU Meneja Mkuu Kampuni ya ETDCO CPA Sadock Mugendi Amesema wanaendelea kujenga miundo mbinu ya Umeme Nchini ikiwemo Njia ya kusafirisha umeme kutoka Tabora...
GRIDI YA TAIFA KUMALIZA TATIZO LA UMEME RUKWA
📌 Kituo cha kupoza umeme kujengwa Nkansi
📌 Maeneo 1,500 yaliyofanyiwa mapitio yamekidhi vigezo kulipia 27,000/-
Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema changamoto ya...
MOTO WATEKETEZA MAKAZI YA KAYA 43 KISIWA CHA RUKUBA MUSOMA VIJIJINI
Na Shomari Binda-Musoma
JUMLA ya makazi ya kaya 43 kwenye kisiwa cha Rukuba kilichopo Musoma vijijini zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.
Moto huo umedaiwa...
TANESCO YATANGAZA KUANZA RASMI KWA MABORESHO YA MFUMO WA LUKU KATIKA MIKOA YA KANDA...
Na Agnes Njaala, Rukwa
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza rasmi kwa zoezi la maboresho ya mfumo wa LUKU ambapo sasa ni zamu ya...
DK. MWINYI AKUTANA NA UONGOZI WA TAASISI YA BIG WIN
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Taasisi ya Big Philanthropy ya Uingereza kushirikiana na...
SERIKALI YASITISHA ZOEZI LA UKAGUZI WA RISITI ZA EFD KARIAKOO
Dodoma
SERIKALI imesitisha zoezi la ukaguzi wa risiti za Kielekroniki (EFD) na ritani za kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka...
MAHIMBALI APOKEA TAARIFA MAENDELEO YA MRADI WA DHAHABU NYANZAGA
Mwandishi wetu@Lajiji Digital
KATIBU Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amepokea taarifa ya maendeleo ya mradi wa uchimbaji mkubwa wa madini ya dhahabu wa...