RAIS DK.MWINYI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA MIUNDONBINU YA SEKTA YA ELIMU

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema serikali itaendelea kuimarisha miundonbinu ya sekta ya elimu kwani...

TANZANIA KUADHIMISHA KITAIFA SIKU YA HAKI YA MTUMIAJI MJINI MOROGORO MACHI 15, 2025

Dar es salaam TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani Machi 15, 2025 ambapo kitaifa maadhimisho hayo...

CHALAMILA AUNGANA NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA PROFESA SARUNGI

Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Machi 10, 2025 ameungana na mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa...

MHANDISI MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA

📌Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi 📌Asisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husika 📌Asema kukamilika kwa Mradi...

RAIS DK. SAMIA : HAKIKISHENI KUNAKUWA NA UDHIBITI ENDELEVU WA UPOTEVU MAJI

Kilimanjaro RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maji na watu walioaminiwa kuhakikisha kuwa huduma ya maji kwenye Wilaya za Same, Mwanga Mkoani Kilimanjaro...

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI

▪️Awasihi waendelee kukemea vitendo vyote vinavyoashiria mmomonyoko wa maadili Manyara  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi viongozi wa dini nchini waendelee kukemea vikali vitendo vyote ambavyo...

RAIS DK.SAMIA ASISITIZA UMUHIMU WA KIZAZI CHENYE MAADILI MEMA

Na Esther Mnyika, Arusha RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa wazazi na walezi kujenga kizazi Chenye maadili mema ya kitanzania na kuheshimiana ili...

VIJANA WENYE ELIMU YA DINI NI NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO-MAJALIWA

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema vijana wenye elimu na maarifa ya dini ni nguzo muhimu ya ustawi na maendeleo katika jamii...

DKT. BITEKO ATAKA FURSA KWA MTOTO WA KIKE IANZIE KATIKA NGAZI YA FAMILIA

📌 Asema maadhimisho siku ya mwanamke yajumuishe mafanikio ya Beijing 📌 Awahimiza wanawake kushiriki na kugombea katika Uchaguzi Mkuu ujao  Dar es Salaam  NAIBU Waziri Mkuu...

BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES INAYIJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE_ MBAGALA

Dar es Salaam  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal...