VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUBORESHA HUDUMA KWA WANAUSHIRIKA
๐ Dk. Biteko azitaka Kampuni za ushirika kurejesha rasirilimali kwa jamii
๐ Maafisa ushirika watakiwa kutengeneza Sura ya Ushirika
๐ Benki ya Ushirika wa mazao kuanzishwa
๐Watanzania...
WAZIRI MKUU AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA YA TOSAMAGANGA
Iringa
*Azipongeza taasisi za dini kwa kuendelea kutoa huduma za kijamii
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezipongeza taasisi za dini likiwemo Kanisa Katoliki kwa kuendelea kushirikiana...
DK. KIKWETE AIPONGEZA REA KWA KUSAMBAZA UMEME KWENYE VIJIJI 12,031
Dar es Salaam
RAIS Mstafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete amewapongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kusambaza nishati ya umeme...
WAZIRI WA ZIMBABWE CHADZAMIRA AVUTIWA NA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Mikoa na Ugatuzi kutoka nchini Zimbawe, Ezra Chadzamira ametembelea banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi...
TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO YA 48 YA KIMATAIFA ALMAARUFU SABASABA 2024
Na Beatus Maganja, Dar es Salaam.
MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es...
FARAJA: MHITIMU WA VETA ALIYEAMUA KUANZISHA KIWANDA CHAKE
Dar es Salaam
MHITIMU wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Dodoma, Faraja Michael wa fani ya uchomeleaji,ameanzisha kiwanda chake cha kutengeneza...
WAZIRI KAIRUKI ASISITIZA KUONGEZA UBUNIFU NA ARI YA UTENDAJI KAZI
Dar es Salaam
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angelah Kairuki amewataka watendaji Makumbusho na Malikale kuongeza ubunifu kwenye maonesho mbalimbali ili kuwavutia wananchi na...
EWURA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU MBALIMBALI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.
Na Leah Choma, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhamasisha...
OREXY GAS YAMTANGAZA SHILOLE KUWA BALOZI WAKE WA UHAMASISHAJI
Dar es Salaam
KAMPUNI ya Gesi ya Oryx imemtangaza Mama Lishe Zuwena Mohamed maarufu Shilole (Shishifood) kuwa balozi wao katika kuhamasisha matumizi ya nishati...
BADO KUNA CHANGAMOTO YA WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM KUWALETA SHULE NA CHUONI KUTOKANA...
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Baraza la Taifa la Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi Tanzania ( NACTIVET), Bernadetta Ndunguru...