DOTTO MAGARI AMEPONGEZA JUHUDI ZA RAIS DK.SAMIA KUHAKIKISHA NCHI INAENDELEA KUWA NA AMANI

Dar es Salaam MFANYABIASHARA wa magari nchini,Dotto Keto maarufu "Dotto magari" amepoongeza juhudi za Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha nchi inaendelea kuwa na...

KAMPUNI YA VODCELL YAELEKEZWA KULIPA HALMASHAURI YA USHETU SHILINGI MILIONI 362 NDANI YA SIKU...

Shinyanga KAMPUNI ya Vodcell yaelekezwa kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu shilingi milioni 362 ndani ya siku saba ikiwa ni fedha za ushuru wa...

USHETU WATOA MAUA YAO KWA WAZIRI BASHE KWA KUISHI KWA VITENDO MAONO YA RAIS

Shinyanga WANANCHI wa Halmashauri ya Ushetu na Wilaya ya Kahama wamemlaki kwa maelfu na shangwe za kishindo Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na kujivunia...

BASHE: SIKIMU YA MZEE SHIJA KUNUFAISHA WAKULIMA WA WILAYA YA KAHAMA

Shinyanga WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amefanya ziara ya kikazi Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga leo Septemba15, 2024 ambapo ametrmbelea mradi wa bwawa...

TUVUMILIANE NA KUHESHIMIANA KAMA WATANZANIA – DK. BITEKO

📌 Mamia ya Wakatoliki Wamiminika Uwanja wa Uhuru Kongamano la Ekaristi Takatifu 📌 Watanzania Wahimizwa Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Dar es Salaam NAIBU Waziri...

SKIMU ZA UMWAGILIAJI, MBOLEA NA MATREKTA KULETA MATUMAINI KWA WAKULIMA WA NZEGA NA IGUNGA

Igunga ZIARA ya ukaguzi wa skimu za umwagiliaji na maendeleo ya upembuzi yakinifu wa skimu za umwagiliaji imeendelea leo tarehe 14 Septemba 2024 katika...

SEKTA YA UGANI KUPEWA HESHIMA NCHINI

Tabora MAAFISA Ugani 23 wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wamepewa moyo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na kuelezwa Serikali imewekeza vitendea...

WADAU WAITWA KUSAIDIA WAZEE

Dar es Salaam WADAU mbalimbali wameombwa kujitokeza kuunga mkono ajenda za kundi la wazee ili kukabiliana na changamoto zinazowakabili wazee. Waziri wa Maendeleo ya Jamii,...

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA MANUNUZI YA BIDHAA YA TRILIONI 3.1 MIGODINI

-Azindua rasmi Chama cha Watoa Huduma na Wauzaji wa Bidhaa Migodini -Afurahishwa na Watanzania kuzingatia ubora -Awataka kushirikiana na kusaidiana -Rais Samia apongezwa kuvutia uwekezaji Dar es salaam WAZIRI...

WITO WATOLEWA WADAU KUSHIRIKI KONGAMANO LA UFUATILIAJI NA TATHMINI

Dodoma KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dk. Jim Yonazi ametoa wito kwa wadau wa ufuatiliaji na tathmini nchini kushiriki...