UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA

📌 Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi 📌 SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu Barbados TANZANIA imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya...

UBORESHAJI MIUNDOMBINU TANGA UWE JUMUISHI-KAKOSO

Tanga MWENYEKITI wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Seleman Moshi Kakoso amezungumzia umuhimu wa ujenzi wa miundombinu mkoani Tanga kuwa jumuishi ili kuleta...

MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEZA MIKAKATI YA KUKUZA SEKTA YA MIFUGO

 ▪️Asisitiza kuwa mifugo ni uchumi, ajira na biashara ▪️Atoa wito kwa wakulima na wafugaji wawe wamoja Tabora  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuweka...

TUME YA HAKI ZA BINADAMU INACHUNGUZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA KATIKA VIWANDA...

Pwani TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanza ziara ya wiki mbili wakifanya uchunguzi wa kero na malalamiko ya wafanyakazi na...

KAPINGA AZINDUA NAMBA YA BURE YA HUDUMA KWA WATEJA WA TANESCO

📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dk. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure 📌Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja...

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO

Tabora WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 12, 2025 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Majisafi ya Ziwa Victoria...

TANZANIA NA URUSI KUSHIRIKIANA KUIMARISHA UHIFADHI WA MISITU KWA TEKNOLOJIA YA KISASA

Dodoma TANZANIA imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Urusi katika sekta ya misitu kwa lengo la kuboresha uhifadhi wa rasilimali zake kupitia teknolojia na mbinu za...

KAMATI YA MIUNDOMBINU YAITAKA WIZARA YA UJENZI KUWEKEZA ICoT

Morogoro KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imezungumzia umuhimu wa Wizara ya Ujenzi kuwekeza kikamilifu katika Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT), ili...

RAIS DK.MWINYI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA MIUNDONBINU YA SEKTA YA ELIMU

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema serikali itaendelea kuimarisha miundonbinu ya sekta ya elimu kwani...

TANZANIA KUADHIMISHA KITAIFA SIKU YA HAKI YA MTUMIAJI MJINI MOROGORO MACHI 15, 2025

Dar es salaam TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani Machi 15, 2025 ambapo kitaifa maadhimisho hayo...