RAIS DK. MWINYI ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA
Dodoma
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Julai, 25 2024 amehudhuria Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa...
SGR YAANZA RASMI SAFARI DAR -DODOMA
Dar es Salaam
HISTORIA imeandikwa baada ya Shirika la Reli Tanzania kutimiza agizo la Rais Dk. Samia Suluhu Hassan la kuanza safari za treni...
RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI SIKU YA MAADHIMISHO YA MASHUJAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja...
RC CHALAMILA :VYOMBO VYA HABARI PUNGUZENI KURIPOTI HABARI ZINAZOLETA TAHARUKI
Dar es salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amevitaka vyombo vya habari vinavyoripoti taarifa juu ya suala la uibukaji utekaji watoto...
NANYAMBA YAFIKIWA NA ELIMU YA FEDHA
Na Chedaiwe Msuya, MtwaraKATIKA mji wa Mtwara, ambao unajulikana kwa shughuli za uvuvi na rasilimali za gesi asilia, serikali iliamua kutoa mafunzo ya...
TANZANIA YATOA NENO UKUBWA WA RIBA KIMATAIFA
Na Asia Singano, Addis Ababa - EthiopiaTANZANIA imeshiriki katika kikao cha Kwanza cha Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa...
KAGERA,GEITA KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AGOSTI 5,2024
Na Mwandishi Wetu
UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Geita na Kagera utafanyika kwa siku saba kuanzia Agosti 5 hadi 11 ,...
KAMPUNI ZA UWEKEZAJI KATIKA UJENZI CHINA ZATEMBELEA MOI
Na Abdallah Nassoro-MOI
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), leo Julai 24, 2024 imepokea ujumbe kutoka makampuni ya uwekazaji kwenye sekta ya...
DK. BITEKO AWATAKA VIONGOZI KUSHIRIKIANA KUCHOCHEA MAENDELEO
📌Awataka kuwajenga wananchi sio kuwagawa
📌Asema Rais Samia amerahisisha upatikanaji wa maendeleo
Geita
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kushirikiana na...
RAIS DK.SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Julai,24 2024.