ALIYEPOOZA NA KUSHINDWA KUTEMBEA KWA MIAKA 7 ASAIDIWA FIMBO NA ASKARI KATA GENUINE KIMARIO
Na Shomari Binda-Serengeti
ASKARI Kata wa Kata ya Kisangura iliyopo wilayani Serengeti Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Genuine Kimario ameendelea kufanya jitihada za kuwafikia wenye uhitaji...
BASHE ATANGAZA NEEMA SEKTA YA UMWAGILIAJI SHINYANGA
Shinyanga
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ametembelea mradi wa Umwagilkaji wa Nyida uliopo mkoani Shinyanga wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na kuelekeza...
JOKETI KUHAKIKISHA ANAMTUA KUNI MWANAMKE KICHWANI KUTUMIA NISHATI MBADALA
Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital
Umoja wa Wanawake Nchini(UWT) umedhamiria kwa vitendo kuhakikisha unatekeleza dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha inamtua kuni...
WAZIRI MKUU AWAAGA VIONGOZI WA DINI, UZINDUZI WA ROUTE YA SGR DAR – DODOMA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewaaga viongozi wa dini 104 ambao wanaelekea Dodoma kwa treni ya mwendokasi (SGR) kwenda kushiriki ibada...
CHATANDA ATEMBELEA FAMILIA YA BOGOHE MWASISI WA UWT PAMOJA NA CCM MWANZA.
Na Mwandishi wetu, Mwanza
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda amefika Kisesa wilaya ya Magu mkoani Mwanza kumtembelea Mwasisi wa...
TANESCO KUANZA KUFANYA MABORESHO YA LUKU MKOA WA PWANI NA DAR ES SALAAM
Dar es salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kutakuwa na maboresho huduma zake katika mfumo wa Luku kwa wateja wake wa Mkoa wa Dar...
KICHEKO KWA WATUMISHI WA UMMA NA SEKTA BINAFSI
Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani GST yatoa Mshindi
Na Mwandishi wetu, Arusha
WATUMISHI wa Umma na Sekta Binafsi Duniani kote wameungana kwa pamoja kusheherekea...
RAIS WA CHAMA CHA TAS ALILIA HUKUMU KALI KWA WANAOKUTWA NA VIUNGO NA MAUAJI...
Pwani
RAIS wa Chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Godson Mollel aonyesha kushangazwa na Mahakama nchini kutowahi kutoa adhabu kali kwa watu wanaokutwa...
MENEJA TRA KIBONDO AKAMATWA NA MENO YA TEMBO
Kigoma
JESHI la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma...
SERIKALI INAENDELEA KUWEKEZA UJENZI WA VYUO LENGO KUTOACHA NYUMA WATU
DAR ES SALAAM
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka Elimu na Mafunzo Stadi (VETA) ,CPA Anthony Kasore amesema serikali imeendelea kuwekeza Ujenzi wa vyuo kuanzia Wilaya hadi...