TUJIEPUSHE KUIGA TABIA ZA KIGENI ZISIZOKUWA NA MAADILI KWA TAIFA-MAJALIWA

▪️Amsifu Askofu Kilaini asema ni kielelezo cha ujasiri, imani thabiti na kujitoa kwa jamii Kagera WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema jamii inahitaji kufundishwa, kutambua na...

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA HATUA ZA UTEKELEZAJI...

📌Zaidi ya Shilingi Bilioni 21 zatumika kulipa fidia waliopisha mradi 📌Serikali yasema mradi utakamilika kwa wakati 📍IRINGA KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya...

NI MAONO YA DK.SAMIA WANANCHI WOTE WAPATE UMEME – KAPINGA

📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme 📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha...

KAKOSO:ONGEZENI KASI UJENZI WA BRT 3

Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imezungumzia umuhimu wa Serikali kumsimamia kikamilifu mkandarasi SINOHYDRO Corporation Ltd anaejenga Mradi wa Mabasi...

BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl

📌Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa *📌 Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na...

WAZIRI MKUU AZINDUA MSIKITI WA NUURIL HIKMA. 

▪️Awataka waumini kuutunza msikiti huo ▪️Atoa wito kwa viongozi wa dini kuliombea Taifa na kukemea maovu Dar es Salaam  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 14,...

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA KASI UJENZI DARAJA LA PANGANI.

Tanga MWENYEKITI wa Kamati hiyo, Seleman Moshi Kakoso amesema kazi iliyofanywa kwenye daraja hilo lenye urefu wa meta 525 ni kubwa hivyo Wizara ya...

RAIS DK. MWINYI: SERIKALI ITAZIFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA KIJAMII.

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amewahakikishia Wananchi wa Mpapa kuwa Serikali itazifanyia kazi changamoto za kijamii ziliomo katika kijiji...

UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA

📌 Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi 📌 SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu Barbados TANZANIA imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya...

UBORESHAJI MIUNDOMBINU TANGA UWE JUMUISHI-KAKOSO

Tanga MWENYEKITI wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Seleman Moshi Kakoso amezungumzia umuhimu wa ujenzi wa miundombinu mkoani Tanga kuwa jumuishi ili kuleta...