KIGOGO TAASISI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE AJITOSA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI
Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mkoa wa Kilimanjaro, Grace Saulo Mali, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha...
MABENKI YATAKIWA KUWAFUATA WAKULIMA NA WAFUGAJI – DK. BITEKO
πSerikali Kuendelea Kuweka Mazingira Wezeshi ya Uwekezaji
πMikopo Chechefu Yapungua Nchini
π Dkt. Biteko Azindua Tawi la KCB Geita
Geita
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa...
JIJI LA DAR LATANGAZA FURSA KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE MAENEO KUMI NA MOJA.
Na Mariam Muhando- Dar es salaam.
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es salaam imetangaza fursa kwa Wawekezaji Nchini kuwekeza katika maeneo kumi na Moja ya...
TANESCO TUMIENI UMEME ULIOPO KUFANYA MATENGENEZO – DK. BITEKO
π Hakikisheni Watanzania wanapata umeme wa uhakika
π Asema Rais Samia ameweka msukumo kuimarisha sekta ya Nishat
π TANESCO Kujenga vituo vya kanda kudhibiti mifumo ya...
RAIS DK.SAMIA AWASILI NCHINI RWANDA KWENYE SHEREHE ZA UAPISHO WA KAGAME
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali tayari kwa kuhudhuria...
KASEKENYA TANROADS NA WANANCHI LINDENI BARABARA
Pwani
NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kushirikiana na wananchi kulinda hifadhi za barabara na hivyo...
DK. MWINYI KUZINDUA KIJANA NA KIJANI LEO
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasili uwanja wa New Amaan Complex kuzindua Kampeni...
RAIS DK.SAMIA AKUTANA MAAFISA UGANI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na maafisa ugani pamoja na wanaushirika kabla ya kuanza kwa kikao...
WAZIRI KOMBO AJITAMBULISHA KWA RAIS WA ZANZIBAR
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar bado inahitaji wawekezaji zaidi kuja kuwekeza nchini kupitia...