MJADALA BAJETI WIZARA YA NISHATI UNAENDELEA BUNGENI ASUBUHI HII
MJADALA wa Bajeti ya Wizara ya Nishati unaendelea asubuhi hii bungeni Jijini Dodoma katika Mkutano wa Kumi na Tano Kikao cha Kumi na Nne
Mjadala...
WAZIRI MKUU AONGOZA MKUTANO WAKAZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 07, 2024 ameongoza Mkutano wa kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri uliofanyika kwenye ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma....
WAZIRI DK. GWAJIMA AISHUKURU USWISI KWA KUSAIDIA NGOs TANZANIA
Dar es Salaam
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. Dorothy Gwajima amesema ufadhili uliotolewa na Serikali ya Uswisi kusaidia Mashirika...
MIRADI IKAMILIKE, IANZE KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI – WAZIRI MKUU
Iringa
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza miradi yote inayojengwa kwa fedha za Serikali ikamilike ndani ya mwaka huu na ianze kutoa huduma kwa wananchi.
Ametoa...
DK.BITEKO ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI MKUTANO WA TATU WA MWAKA WA TIA UTAKAOFANYIKA ...
Dodoma
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko anataraji kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa tatu wa mwaka wa Taasisi ya...
BADO KUNA CHANGAMOTO YA WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM KUWALETA SHULE NA CHUONI KUTOKANA...
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Baraza la Taifa la Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi Tanzania ( NACTIVET), Bernadetta Ndunguru...
DK. KIJAJI ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI SIKU YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MILIKI UBUNIFU...
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk.Ashatu Kijaji anatarajia kuwa mgeni rasmi siku ya maadhimisho ya siku ya miliki ubunifu Duniani...
TANESCO KUOKOA BILIONI 30 KILA MWAKA MKOA WA KAGERA UTAKAPOINGIA KWENYE GRIDI YA TAIFA
📍Yasaini mkataba na kampuni ya Mhandisi Mshauri ya Shaker na kampuni ya usimamizi miradi ya umeme ya PDC kusimamia ujenzi wa njia ya kusafirisha...
KADI ZA MPIGA KURA ZENYEVJINA LA ZAMANI LA TUME NI HALALI
Kigoma
KADI za mpiga kura zilizotolewa mwaka 2015 na 2020 ni halali na zitaendelea kutumika kwenye chaguzi kuu zijazo bila kujali mabadiliko ya jina...
TANZANIA YAPONGEZWA USIMAMIZI RASILIMALI MADINI, MAFUTA NA GESI ASILIA
Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital
📌Dk. Biteko akutana na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI ya nchini Norway
📌Ushirikiano wa EITI na TEITI kuimariswa
NAIBU Waziri Mkuu na...