WAZIRI BASHE AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KITUO CHA UNUNUZI WA MAHINDI RUVUMA.

Ruvuma WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amefanya ziara ya ukaguzi katika Kituo cha Ununuzu wa Mahindi cha Kizuka, Mkoani Ruvuma leo Septemba18 2024. Akizungumza na...

”MKOA WA TABORA TUMEPIGA VITA MAFUNDI UMEME VISHOKA”-RAS TABORA

Tabora KATIBU Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dk. John Mboya, akifungua semina ya siku moja kwa mafundi umeme wa mkoa huo, kwa niaba ya...

KAPINGA AFUNGUA KIKAO KAZI TPDC

📌Awataka kuyapa kipaumbele masuala ya wafanyakazi. 📌Ataka changamoto ya wafanyakazi kukaimu muda mrefu kufanyiwa kazi Mwanza NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga leo Septemba 17, 2024...

WAZIRI DK. GWAJIMA AIPONGEZA WILAYA YA MAGU KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI

*Awaagiza Maafisa Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii kutumia njia za kidijitali kutoa elimu na fursa za kiuchumi kwa wananchi. Mwanza WAZIRI wa Maendeleo ya...

RAIS DK. SAMIA KATOA ZAIDI YA SHILINGI BILILONI 830 KUJENGA UPYA BARABARA NA MADARAJA...

Pwani NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan tayari imetoa zaidi ya shilingi Bilioni 830 kwa ajili ya...

SERIKALI YA SMT NA SMZ ZITAENDELEA NA JUHUDI ZA KUIMARISHA DHANA YA UFUATILIAJI NA...

Zanzibar SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zitaendelea na juhudi za kuimarisha dhana ya Ufuatiliaji...

RAIS DK.SAMIA ATOA WITO WA SIASA SAFI, AKEMEA MIKAKATI YA KUHATARISHA AMANI YA...

Kilimanjaro RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ni kiongozi madhubuti anayeweka maslahi ya Tanzania mbele. Akizungumza leo Septemba 17 2024 mkoani Kilimanjaro Rais...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 6O YA JESHI LA POLISI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya...

RAIS SAMIA ANAAMINI KATIKA USHIRIKIANO NA VIONGOZI WA DINI -DK. BITEKO

📌Atoa pole kwa Familia, KKKT kifo cha Askofu Sendoro 📌Kanisa Lashauriwa Kumuenzi Askofu Sendoro kwa Vitendo 📌 Waumini Waaswa Kuishi Maisha ya Kumpendeza Mungu Kilimanjaro NAIBU Waziri...

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA GREEN HIPPO TRAVELS AZURU MAKUYUNI WILDLIFE PARK.

📍 Astaajabishwa na wingi wa vivutio na kuahidi kuwahamasisha wageni mbalimbali kutembelea eneo hilo Arusha MKURUGENZI wa Kampuni mashuhuri ya utalii inayofahamika kama Green Hippo...