Agizo la minada yote nchini kutumia nishati safi ya kipikia laanza kute
π Wachoma nyama na Mama Lishe katika mnada wa Msalato Dodoma waanza kuonja matunda ya Nishati Safi ya Kupikia;
π Dkt. Biteko asema ni matunda...
Kasi ndogo ya utekelezaji mradi wa umeme wa Chalinze-Dodoma yamakasirisha-Dk. Biteko
π Asikitishwa mradi huo aliouzindua Novemba 2024 kuwa nyuma kwa asilimia Saba
π Asema Rais Samia alitoa agizo mradi usichezewe kutokana na umuhimu wake katika...
Vyombo vya habari ni nguzo muhimu kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya maendeleo...
Na Florah Amon, Dar es Salaam
VYOMBO vya habari nchini Tanzania vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050...
Mwanamke ni msukumo wa maendeleo katika jamii_Dk. Biteko
π Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa wanapata haki na heshima wnayostahili
πAzindua Mpango kazi wa Kitaifa wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama
π Unalenga kushirikisha...
Wizara ya Nishati ya jivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini
π Katibu Mkuu Nishati asema kati ya miradi hiyo saba, JNHPP imekamilika
π Asema EACOP imefikia asilimia 65 huku Serikali ya Tanzania ikichangia hisa za...
Majaliwa atoa wito kwa wadau kuimarisha ushirikiano na Serikali
Na Mwandishi Wetu β Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa mashirika yasiyo ya kiserikali, sekta binafsi na taasisi za dini kuimairisha ushirikiano...
Dk. Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi katika maeneo yanayopitiwa na EACOP
π Unahusisha kuongezea vijana ujuzi, kuboresha upatikanaji wa huduma za kifedha, na kuondoa vikwazo vya ujasiriamali na ajira binafsi
π Ataka ujuzi unaotolewa kwa vijana...
Wakitumia nishati safi ya kupikia wataokoa hekta 400000 za misitu zinazoteketea kwa mwaka-Mjiolojia Nsajigwa
π Awanoa Wanawawake na Wajasiriamali Songwe kuhusu Nishati Safi ya Kupikia
π Atoa wito kwa Wadau kushirikiana na Wizara ya Nishati kutoa elimu ya Nishati...
Waandishi wa habari wanatakiwa kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuripoti habari zenye weledi
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAANDISHI wa Habari wanatakiwa kujua siasa ni maisha yanayomgusa kila mmoja, hivyo hawawezi kuepuka cha msingi...
Serikali yafungua milango ya fursa kwa wakulima wa mwani
Na Mwandishi wetu, Tanga
SERIKALI imewataka wakulima wa mwani nchini kutumia mbinu bora na za kisasa za kilimo ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo na...












