WAZIRI MAVUNDE AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI YA EITI JIJINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amekutana na kufanya kikao kifupi na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI Rt. Helen Clark katika...

DAWA ZA KULEVYA MPYA AINA YA MDPV ZAKAMATWA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imefanikiwa kukamata Kilogramu 4.623 za aina mpya ya dawa ya...

RIBA YA BENKI KUU YAPANDA KUTOKA ASILIMIA 5.5 HADI ASILIMIA SITA.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital  KAMATI ya Sera ya Fedha (MPC) imepandisha Riba ya Benki Kuu kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya mwaka...

TARURA YADHAMIRIA KUIMARISHA MTANDAO WA BARABARA KWA 85%

Na Mwandishi wetu, Morogoro WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ina lengo la kuhakikisha barabara zote nchini zinapitika kwa asilimia 85 ili kuinua...

WATENDAJI WAZEMBE TANESCO KUANZA KUCHUKULIWA HATUA KILA MWEZI – DK. BITEKO

📌Asisitiza Kituo cha Huduma kwa Wateja kuongeza ufanisi 📌Tathmini kufanyika kwa Mkataba wa Mtoa Huduma kwa wateja TANESCO 📌 Mameneja wa Mkoa TANESCO kupimwa kwa matokeo 📌TANESCO...

ERB NA ATE WASAINI MAKUBALIANO KUWEZESHA WAHANDISI WANAWAKE

Na Mwandishi wetu @Lajiji Digital IMEELEZWA kuwa ili kuhakikisha juhudi za kuwawezesha wanawake kupata fursa nyingi na nafasi katika fani mbalimbali ikiwemo uhandisi ni...

HALMASHAURI KUU TAIFA CCM IMEFANYA MADILIKO

Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imekutana leo Aprili,3 jijini Dar es Salaam katika kikao chake maalum,chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais...

TRENI YA MCHONGOKO YAWASILI NCHINI.

Na Mwandishi wetu @Lajiji Digital HISTORIA nyingine imeandikwa nchini mara baada ya kuwasili kwa seti ya kwanza ya vichwa vya mchongoko vya treni ya...

WAZIRI MKUU: MAPATO YA NDANI YAFIKIA TRILIONI 17

*Ahimiza utoaji wa risiti halali za kielektroniki Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kati ya Julai, 2023 na Januari, 2024 Serikali...

TANZANIA YAPONGEZWA USIMAMIZI RASILIMALI MADINI, MAFUTA NA GESI ASILIA

Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital 📌Dk. Biteko akutana na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI ya nchini Norway 📌Ushirikiano wa EITI na TEITI kuimariswa NAIBU Waziri Mkuu na...