MIRADI NANE YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILLION 3.6 INATARAJIWA KUZINDULIWA NA...

Na Ashrack Miraji Mkuu wa Wilaya ya Same Kasilda Mgeni amesema jumla ya miradi nane ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 3.6...

WADAU WATOA MISAADA YA KIBINADAMU RUFIJI

Na Mwandishi wetu,Rufiji MBUNGE wa Rufiji na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameshiriki...

RC CHALAMILA AONGOZA BARAZA LA BIASHARA MKOA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April, 5 2024 ameongoza baraza la biashara Mkoa wa...

MTENDAJI MKUU TARURA AAGIZA USANIFU UPYA DARAJA LA BIBI TITI MOHAMMED-MOHORO

Na Mwandishi wetu, Rufiji MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff ameagiza timu ya wataalamu wa TARURA Makao...

RAIS SAMIA AKUTANA IKULU NA MJASIRIAMALI MAANAYATA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akimuelezea kuhusu picha ya Mlima Kilimanjaro aliyomzawadia Mjasiriamali Maanayata Dutt ambaye pia ni mke...

DKT. BITEKO AMWAKILISHA MAKAMU WA RAIS IFTARI YA VIONGOZI WA DINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Aprili, 52024 amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri...

MAJAJI, WASAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI WAPIGWA MSASA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI MASHAURI.

Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma JAJi  Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma ametoa rai kwa Majaji na Wasajili wa Mahakama ya Rufani nchini kuwa mstari...

TANZANIA NA DENMARK KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

Na Benny Mwaipaja, Dodoma WAZIRI wa Fedha,Dk. Mwigulu  Nchemba  ameihakikishia Denmark kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na nchi hiyo kupitia Mkakati wake mpya wa ushirikiano...

DKT. BITEKO AFUTURISHA JIMBONI BUKOMBE

Na Mwandishi wetu, Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe Aprili, 4...

ZANZIBAR KUDUMISHA USHIRIKIANO NA OMAN.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kuendeleza ushirikiano wa muda mrefu...