WIZARA YA MADINI MBIONI KUZINDUA MINING FOR A BRIGHTER TOMORROW (MBT) – WAZIRI MAVUNDE

STAMICO kuja na Mkakati wa kuzalisha Megawati 2000 za Umeme wa Makaa ya Mawe, Mazungumzo na Mwekezaji yanaendelea Awataka Watumishi Madini kuongeza Ubunifu ili kukuza...

DK. BITEKO ATAKA WATANZANIA KUMUENZI SOKOINE KWA KUFANYA KAZI

Hayati Sokoine alikuwa mstari wa mbele kukemea rushwa na ufisadi Anakumbukwa kama kiongozi aliyepigania maendeleo ya taifa. Dk. Biteko asisitiza Sekta ya Kilimo iwe kimbilio Na Mwandishi...

RAIS DK.MWINYI ASHUKURU KWA DUA ZA HAYATI MZEE MWINYI

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema familia ya Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi...

ZAIDI YA Sh1.6 BILLIONI KUKAMILISHA MIRADI SITA YA MAENDELEO WILAYANI MWANGA

Ashrack Miraji,Same Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro,Abdallaah Mwaipaya amesema jumla ya miradi Sita ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni...

UPATIKANAJI WA UMEME NCHINI NI WAJIBU WETU WOTE, TUUTEKELEZE IPASAVYO KATIKA MAZINGIRA YOTE

📌Awasihi kuhakikisha wanakagua ubora wa viwango vya kazi zinazofanyika 📌Awasisitiza kulinda vifaa vinavyotoka stoo kufanya kazi iliyokusudiwa ili kupunguza upotevu wa fedha za shirika 📌 Ni...

MAAFISA WA REGROW WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI WA KAZI

Na Mwandishi wetu, Morogoro  MAAFISA wanaotekeleza Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania REGROW wamesisitizwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa...

KIKONGWE AUAWA NA MJUKUU WAKE MOROGORO

Na Mwandishi wetu, Morogoro JESHI la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Waaki Athumani mkazi wa Mzumbe wilayani Mvomero mwenye umri wa miaka 28 kwa tuhuma...

TUMIENI BARAZA LA FCT KUSTAWISHA USHINDANI WA HAKI NA KUMLINDA MLAJI KATIKA SOKO.

Na Mwandishi wetu, Mbeya. KATIBU Tawala Msaidizi wa Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mkoa wa Mbeya, Anna Mwambene amewaasa wafanyabiashara wa Mkoa huo na...

WAZIRI MKUU ASHIRIKI DUA YA KUMUOMBE HAYATI SHEIKH ABEID AMANI KARUME

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki dua ya kumuombea Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar. Dua hiyo pia...

RAIS DK. SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA MAUAJI YA KIMBARI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Samia Suluhu Hassan akielekea kwenye eneo la Makaburi kwa ajili ya kuweka shada la maua wakati...