WAZIRI WA ULINZI ATOA POLE VIFO NA MAJERUHI YA WANAJESHI WA TANZANIA, DRC

Na Mwandishi wetu, Congo WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax ametoa salamu za pole kwa Mkuu wa Majeshi...

WAZIRI MKUU AKUTANA NA DK. BITEKO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini...

MHANDISI SEFF AMTAKA MKANDARASI CHICO KUONGEZA KASI UJENZI WA BARABARA ZA LAMI MRADI WA...

Na Mwandishi wetu, Iringa, MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amemtaka Mkandarasi ambaye ni China Henan International...

DKT KIRUSWA ATOA RAI KWA MENEJIMENTI WIZARA YA MADINI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYAKAZI

Na Mwandishi wetu NAIBU Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa ametoa rai kwa Menejimenti ya Wizara ya Madini kuhakikisha inachukua hatua za dhati...

DK.NCHIMBI ASHIRIKI KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza wakati wa hotuba ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukizi...

WAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU KUHUSU RIBA YA BENKI KUU (CRB).

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital  MKURUGENZI wa  Utafiti na Sera za Uchumi  wa Benki Kuu  ya Tanzania (BoT),Dk.  Suleiman Missango  amesema kuwa Riba ya Benki Kuu...

TUENDELEE KUUTHAMNI MUUNGANO WETU-MAJALIWA

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wote, Bara na Visiwani waendelee kuulinda, kuuenzi, kujivunia na kuuthamini Muungano wa Tanganyika na...

SERIKALI KUFUNGUA OFISI ZA FORODHA NYAMISATI-PWANI

Na Josephine Majura, Dodoma SERIKALI imesema kuwa inatarajia kufungua Ofisi za Forodha katika Bandari ya Nyamisati mkoani Pwani katika Mwaka wa Fedha 2024/25, baada ya...

WANANCHI WA KIPUNGUNI KULIPWA FIDIA.

Na Josephine Majura , Dodoma SERIKALI imesema kuwa itaanza kufanya malipo ya fidia kwa wananchi wa Kipunguni waliopisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege jijini Dar es...

DK. ABBASI AWATAKA ASKARI WAPYA TFS KUENZI MAADILI, ATAKA UBUNIFU FITI

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro KATIBU wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, leo Aprili 8, 2024, amefungua Semina Elekezi kwa watumishi wa...