RAIS DK.SAMIA APONGEZA USHIRIKI WA TAWA KIZIMKAZI

Zanzibar RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha pongezi kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kutokana na ushiriki wake wa kipekee...

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA KATIKA MSIBA WA MKE WA MNADHIMU MKUU WA...

Lindi WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Agosti 24, 2024 amehani msiba wa Jokha Hassan Omary ambaye ni Mke wa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi...

NAIBU WAZIRI WA NISHATI AMEKAGUA BANDA LA NISHATI NA TAASISI ZAKE.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amekagua banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika tamasha la KIZIMKAZI linaloendelea Visiwani Zanzibar. Wizara ya Nishati...

WIZARA YA MADINI, CHAMMATA WAKUTANA KUJADILI UTATUZI WA CHANGAMOTO

*Waziri Mavunde asisitiza marufuku Wafanyabiashara wa kigeni kufuata Madini Migodini *Aelekeza Leseni za Biashara ya Madini kutolewa kikanda *Wizara kuweka nguvu kwenye minada midogo ya ndani *CHAMMATA...

SERIKALI ITAENDELEA KUTUMIA TEHAMA KUKUZA MAENDELEO – DK. BITEKO

đź“Ś Lengo ni kuimarisha uchumi wa kidijitali đź“Ś Sekta binafsi yatakiwa kuchangamkia fursa đź“Ś Azindua Mpango wa Ujuzi wa Kidigitali kwa Wote - Digi Truck Dar es...

RAIS DK.SAMIA AZINDUA UTALII WA KASA ZANZIBAR.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akizindua Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani mkoa wa...

BARABARA ZA VIJIJINI KUFUNGUA RUANGWA – MAJALIWA 

Lindi WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kufungua mtandao wa barabara za vijijini katika wilayaya Ruangwa ili ziweze kusaidia wananchi kusafirisha mazao...

WANANCHI MUSOMA VIJIJINI WATAKIWA KUONGEZA KASI UJENZI WA SEKONDARI MPYA NA MAABARA

Na Shomari Binda-Musoma WANANCHI wa Kata 21 kwenye jimbo la Musoma vijijini wameombwa kuendelea kuchangia ujenzi wa sekondari mpya na maabara kwenye maeneo yao. Maombi ya...

RAIS MWINYI: WEKEZENI KWENYE MAADILI YA VIJANA NA WATOTO

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameinasihi jamii kuweka mkazo katika malezi ya vijana na...

RAIS DK.SAMIA AMESIKILIZA KILIO CHA WAKAZI WA NGORONGORO

Ngorongoro RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro. Hayo yamesemwa leo...