WAZIRI MKUU AWAAGA VIONGOZI WA DINI, UZINDUZI WA ROUTE YA SGR DAR – DODOMA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewaaga viongozi wa dini 104 ambao wanaelekea Dodoma kwa treni ya mwendokasi (SGR) kwenda kushiriki ibada...
TANZANIA NA IVORY COAST ZAINGIA RASMI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA MICHEZO
Na, Brown Jonas WUSM, Dar es Salaam.
WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Michezo ya Ivory coast...
FCT YAONGEZA UWAJIBIKAJI NA UBUNIFU KWA MAMLAKA ZA UDHIBITI NA WAFANYABIASHARA
Na Mwandishi wetu, Kigoma
ASILIMIA ya 97 mashauri yaliyowasilishwa kwenye Baraza la Ushindani nchini (FCT) yamesikilizwa na kufanyiwa kazi yamechochea...
DK. BITEKO AWATAKA WATANZANIA, WASIKUBALI KUGAWANYWA
📌 Asema ni moja ya Tunu za Taifa 📌 Kugharimu Shilingi Milioni 500
📌 Aweka Jiwe la Msingi kituo cha Afya Kinyikani, Kaskazini Pemba
Na Mwandishi wetu,...
MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 19.9 KUPITIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MOROGORO
Na Mwandishi wetu, Morogoro
JUMLA ya miradi 70 yenye thamani ya shilingi bilioni 19.9 itapitiwa na mbio za mwenge ambapo miradi 18 itawekewa mawe...
URA SACCOS YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 235.5 KWA...
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MKUU wa Jeshi la Polisi Nchi, IGP Camillus Wambura amepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 235.5...
KUWAHESHIMISHA MABALOZI NI KUKIRUDISHA CHAMA KWA WANACHAMA
Awapongeza wana Ruvuma kwa kujitoa kimasomaso kwa mapenzi ya dhati kwa CCM
Na Mwandishi wetu, Ruvuma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapiduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel...
RAIS DK.MWINYI AZINDUA TAASISI YA WASANIFU NA WAHANDISI ZANZIBAR
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo...
SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA WANAWAKE-MAMA MARIAM MWINYI.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF),...