TFS WAKABIDHI MIZINGA YA NYUKI YA KISASA 300 RUFIJI

Na Mwandishi wetu, Rufiji WAKALA wa misitu Tanzania (TFS) wa Wilaya ya Rufiji wamekabidhi mizinga ya nyuki ya kisasa 300 kwa Waziri wa nchi...

MHANDISI KUNDO AIPONGEZA RUWASA KWA KUPELEKA HUDUMA BORA YA MAJI VIJIJINI.

Na Mwandishi wetu,Dodoma NAIBU Waziri wa Maji,Mhandisi Kundo Mathew ameipongeza Mamlaka ya Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) kwa mchango wao mkubwa kwenye mapinduzi ya huduma...

RC CHALAMILA AKUTANA NA WAMILIKI WA VIWANDA VYA SARUJI NA NONDO

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo April 22, 2024 amekutana na wafanyabishara wanaomiliki viwanda vya...

KILO 767.2 ZA MADAWA YA KULEVYA ZAKAMATWA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa za Kulevya (DCEA) imefanya operesheni na kufanikiwa kukamata jumla ya kilo 767.2 za...

RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA NA MABALOZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania Nchi za Nje kwa njia ya Mtandao (Video...

TANZANIA YAONGOZA SIMBA,NYATI NA CHUI BARANI AFRIKA

Na John Mapepele SERIKALI imesema Tanzania inaongoza kwa kuwa na Simba, Nyati na Chui wengi katika bara la Afrika huku ikishirikilia nafasi ya tatu kwa...

DK NCHIMBI: TUTAWAENZI WAASISI KWA KUENDELEZA UTUMISHI KWA WATU

Na Mwandishi wetu, Ruvuma KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amezuru kaburi la Hayati Mzee Constantine Osward...

WAZIRI MKUU AONYA KUHUSU RUSHWA KITEGA UCHUMI CHA STENDI YA KANGE

Na Mwandishi wetu, Tanga WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya viongozi wanaogawa maeneo kwenye kitega uchumi kipya cha Dk. Samia Suluhu Hassan Business Centre kilichopo stendi...

WAZIRI MKUU AAGIZA TAARIFA MAALUM YA UDHIBITI WA UVUVI HARAMU

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza taarifa maalum ya udhibiti wa vitendo vya uvuvi haramu iwasilishwe kabla ya Wizara ya...

MZEE MALECELA NI HAZINA YA MAARIFA NA UZALENDO-DK.MWINYI

Na Mwandishi wetu, Dodoma RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Viongozi na Watanzania wanajifunza mengi kutokana...