TUME YAVIASA VYAMA VYA SIASA KUTOINGILIA MCHAKATO WA UBORESHAJI WA DAFTARI

Mara TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeviasa vyama vya siasa kutoingilia mchakato wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika...

DCP NYAMBABE AKABIDHI BENDERA KWA ASKARI WA KIKE WANAOKWENDA KUSHIRIKI MAFUNZO YA DUNIA NCHINI...

Dar es Salaam. NAIBU Kamishna wa Polisi Kutoka kitengo cha Udhibiti Makosa yanayovuka Mipaka, DCP Daniel Nyambabe amewakabidhi askari wa kike Bendera ya Taifa...

SHUGHULI ZA BINADAMU CHANZO CHA UHARIBIFU WA MAZINGIRA

Magreth Katengu, Dar es salaam IMEELEZWA kuwa uharibifu wa Ardhi, uharibifu wa vyanzo ya Maji, ukataji Miti ovyo na uharibifu wa misitu,upotevu wa makazi...

JUMLA YA EKARI 1,165 ZA MASHAMBA YA BANGI ZATEKETEZWA MOROGORO

Morogoro MAMLAKA ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na wananchi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama imefanya operesheni maalum...

RAIS DK.SAMIA AISHUKURU TAWA NA TANAPA KWA KULETA WANYAMAPORI HAI TAMASHA LA KIZIMKAZI

Zanzibar RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amezishukuru Taasisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA...

SHULE YA SEKONDARI HASNUU MAKAME YAITIKIA AGIZO LA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

📌 Mwalimu Mkuu aeleza namna Nishati Safi ya Kupikia ilivyookoa nusu ya gharama 📌 Aeleza athari zilizopatikana wakati wakitumka nishati isiyo safi Zanzibar MOJA ya...

RAIS DK.SAMIA APONGEZA USHIRIKI WA TAWA KIZIMKAZI

Zanzibar RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha pongezi kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kutokana na ushiriki wake wa kipekee...

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA KATIKA MSIBA WA MKE WA MNADHIMU MKUU WA...

Lindi WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Agosti 24, 2024 amehani msiba wa Jokha Hassan Omary ambaye ni Mke wa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi...

NAIBU WAZIRI WA NISHATI AMEKAGUA BANDA LA NISHATI NA TAASISI ZAKE.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amekagua banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika tamasha la KIZIMKAZI linaloendelea Visiwani Zanzibar. Wizara ya Nishati...

WIZARA YA MADINI, CHAMMATA WAKUTANA KUJADILI UTATUZI WA CHANGAMOTO

*Waziri Mavunde asisitiza marufuku Wafanyabiashara wa kigeni kufuata Madini Migodini *Aelekeza Leseni za Biashara ya Madini kutolewa kikanda *Wizara kuweka nguvu kwenye minada midogo ya ndani *CHAMMATA...