DK.SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MTENDAJI MKUU CLEAN COOKING ALLIANCE,DYMPHNA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Clean Cooking Alliance Dymphna Van...
SERIKALI KUUNDA KAMATI MAALUM KUSHUGHULIKIA HOJA ZA CAG KILA MWAKA -DK.MWINYI
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itafanyia kazi changamoto zote zilizojitokeza katika...
MAUZO YA NYAMA NJE YA NCHI YAONGEZEKA- MAJALIWA
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka kutoka tani 1,774 mwaka 2020/2021 hadi kufikia...
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI SEKONDARI YA MBEYA GIRLS
Awaonya vijana wasizime ndoto za watoto wa kike
Aweka jiwe la msingi jengo la Mama na Mtoto Hospitali ya Wilaya ya Kyela
Na Mwandishi wetu, Kyela...
WANANCHI WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU
đź“ŤWaipongeza TAWA kwa ushirikishaji
Na Beatus Maganja
KUFUATIA changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza...
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AFUNGUA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA UWT NA MADIWANI...
NaMwandishi wetu, Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemedi Suleiman Abdullah Leo Mei, 11x2024 amefungua Mafunzo kwa viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT)...
RAIS DK.SAMIA KUHUTUBIA JUKWAA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA
Na Esther Mnyika @Lajiji Digital
RAIS Â Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajia kushiriki katika mkutano wa kilele cha wakuu wa nchi kuhusu nishati safi ya...
RAIS DK.SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA CRCC, DAI HEGEN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa China Railway Construction Corporation (CRCC) Ndugu Dai Hegen ambaye ameongozana...
DK.MWINYI AKUTANA NA ASKOFU MKUU WA ANGLIKANA DUNIANI WELBY.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Kanisa la Kianglikana...
SERIKALI YAPONGEZA MCHANGO WA RED CROSS TANZANIA
đź“ŚRais Samia atunukiwa Tuzo ya Ubinadamu;đź“ŚOmbi la ruzuku kwa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania lafanyiwa kazi;
Na Mwandishi wetu, Dodoma
NAIBU Waziri Mkuu na...