KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA KASI YA UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME CHALINZE
📌 Mradi wafikia asilimia 93.7
📌 Ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka JNHPP wafikia 99.5%
Na Mwandishi wetu, Pwani.
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati...
IGP WAMBURA AWAVISHA NISHANI POLISI 27 WA VYEO MBALIMBALI DAR
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura amewataka askari Polisi kuelendea kufanya kazi kwa kuzingatia tunu za Jeshi la...
WIZARA YA MADINI, WAFANYABIASHARA WA BARUTI WAJADILI CHANGAMOTO
Na Mwandishi wetu, Dodoma
KAMISHNA wa Madini Dk. Abdulrahman Mwanga ameongoza kikao kazi cha wataalam wa Wizara, Tume ya Madini na wawakilishi wa Umoja...
MAJALIWA: WATANZANIA TUJIWEKEE UTARATIBU WA KUFANYA MAZOEZI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania waendelee kujiwekea utaratibu wa kufanya mazoezi kwani ndiyo njia sahihi ya kukabiliana...
DK. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA 16 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA FEDHA...
Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba (katikati), akiongoza Mkutano wa 16 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Fedha na Uchumi (SCFEA) na mkutano...
UWEPO WA KIMBUNGA “IALY” KATIKA BAHARI YA HINDI KASKAZINI MWA MADAGASCAR
Mwandishi wetu, Dar es Salaam,
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Mei 17,2024 inatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi...
SERIKALI HAITOZI KODI WANAOBEBA MIZIGO BINAFSI KATI YA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR
Na Saidina Msangi, Dodoma.
SERIKALI imesema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) haitozi kodi kwa wasafiri kati ya Zanzibar na Tanzania bara wanaobeba vitu kwa matumizi...
IMF YARIDHISHWA NA NAMNA TANZANIA INAVYOTEKELEZA MPANGO WA ECF
Na Benny Mwaipaja, Arusha
WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amelihakikishia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba, Serikali itaendelea kufanya maboresho ya sera...
NISHATI SAFI YA KUPIKIA IMEBEBA AJENDA KUBWA YA MAZINGIRA- KAPINGA
📌 Ampongeza Rais Samia kinara nishati safi
📌 Awataka wananchi wa Msomera kubeba ajenda ya nishati safi
📌 Matumizi ya kuni sasa basi Msomera
📌 Serikali yagawa...
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA ULINZI WA BRAZIL
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stergomena Tax Mei, 17 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa...