WAZIRI MKUU AKAGUA BASI AINA YA KAYOOLA EVS
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua basi aina ya KAYOOLA EVS lililotengenezwa nchini Uganda na kampuni ya Kiira Motors Corporation baada ya kufungua Kongamano la...
SERIKALI YATOA MILIONI 250 ZA DHARURA KUJENGA DARAJA LA MBUGA, ULANGA
kiasi kingine kukarabati daraja la waenda kwa miguu la Chigandugandu
Na Mwandishi wetu, Ulanga
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemuagiza Katibu...
MNH-MLOGANZILA KUWA KITUO CHA UMAHIRI KATIKA HUDUMA ZA UPASUAJI REKEBISHI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Janabi amesema Muhimbili itaendelea kuwajengea uwezo wataalam wake kwakuwa malengo yaliyopo...
WANANCHI WAMETAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZINAZOFANYWA NA SERIKALI
Na Sophia Kingimali, @Lajiji Digital
MKURUGENZI Kituo cha Kulelea Watoto Mount Zungwa Day care na kada wa chama cha mapinduzi (CCM), Anania Mwigavile ametoa...
TAPSEA JIENDELEZENI KITAALUMA KUENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA- DK. BITEKO
📌Awataka kuwa kielelezo cha huduma bora kwa wananchi
📌Serikali kufanyia kazi mapendekezo ya TAPSEA
📌 Waraka wa muundo mpya wa makatibu mahsusi mbioni
Na Mwandishi wetu, Mwanza...
DK. BITEKO MGENI RASMI MKUTANO WA KITAALUMA WA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA
Na Mwandishi wetu,Mwanza
MKUTANO wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania unafanyika leo, Mei 23, 2024 katika uwanja wa CCM...
WAZIRI MKUU: WAZAZI FUATILIENI MIENENDO YA WATOTO WENU SHULENI
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wazazi na walezi wafuatilie mienendo ya watoto wao waendapo shuleni ikiwemo na mahudhurio na...
MAJALIWA: TUMEDHAMIRIA KUONGEZA KIPATO CHA WANANCHI
Asema lengo ni kuleta uwiano mzuri wa kiuchumi na kijamii mijini na vijijini
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya imedhamiria...
RAIS DK.SAMIA ANATARAJIA KUWA MWENYEKITI WA MAADHIMISHO MIAKA 20 YA BARAZA LA AMANI...
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
TANZANIA imetajwa kuwa kitovu cha harakati za ukombozi barani Afrika katika masula ya amanim ulinzi na usalama.
Pia Rais Dk. Samia...
WATENDAJI WIZARA YA NISHATI NA TAASISI WAPATA MAFUNZO YA MFUMO WA PEPMIS NA PIPMIS
📌 Wakurugenzi, Wakuu wa Idara watakiwa kusimamia vema mfumo wa PEPMIS
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WATENDAJI wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake leo Mei, 22...