BALOZI DK NCHIMBI: MFUMO WA ELIMU UTAWASAIDIA WATANZANIA KUSHINDANA KIMATAIFA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu ya Tanzania...

TANZANIA YASHIKA UKURUGENZI WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA.

Na Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, WF – Nairobi TANZANIA inatarajia kushika nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji mbadala (Alternative Executive Director) katika Kundi la Magavana wa...

BENKI KUU KUSIMAMIA KANZIDATA YA TAARIFA ZA WAKOPAJI

Na Saidina Msangi,Dodoma. SERIKALI imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imetoa leseni kwa kampuni mbili za kuchakata taarifa za mikopo, kampuni hizo ni Creditinfo...

MKATABA WA TANESCO NA SONGAS KUMALIZIKA JULAI 2024.

Na Mwandishi wetu Dodoma SERIKALI imesema kuwa mkataba wa ununuzi wa umeme kati ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na SONGAS utafikia ukomo Julai...

RAIS WA ZANZIBAR DK. MWINYI AMEMUAPISHA SHARRIF ALI SHARRIF

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi MDk.Hussein Ali Mwinyi leo Mei 26 amemuapisha Sharrif Ali Sharrif kuwa mjumbe wa Tume ya...

WATANZANIA WAASWA KUTUMIA FURSA YA MSAADA WA KISHERIA KUTATUA MIGOGORO

πŸ“Œ Ni kupitia kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia πŸ“Œ TEHAMA kutumika utoaji haki πŸ“ŒWatoa huduma za sheria wahudumie wananchi kwa upendo Na Mwandishi wetu,Njombe...

SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YA DINI-MAJALIWA

Na Mwandishi wetu, Mbeya WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuthamini, kutambua na kuheshimu mchango wa madhehebu ya dini katika kuchochea maendeleo katika...

DK. BITEKO KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA NJOMBE

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko akitembelea mabanda mbalimbali katika hafla maalum ya Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria...

SWAHIBA WA NYERERE APONGEZA UONGOZI WA SAMIA, AKITIMIZA MIAKA 99

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MWANASIASA mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa. Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele...

SERIKALI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIKA NA MVUA-MAJALIWA

Asisitiza mpango wa Serikali wa kukuza sekta ya kilimo Na Mwandishi wetu, Ruanga WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kurejesha miundombinu yote...