DK. NCHEMBA AIOMBA INDONESIA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUBORESHA MIFUMO YA KODI

Na. Benny Mwaipaja, Dodoma. WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameiomba Indonesia kushirikiana na Tanzania kuboresha mifumo ya kodi ili kuboresha ukusanyaji wa mapato ya...

SERIKALI KUTUMIA VIKAO RASMI KUTOA ELIMU YA FEDHA

Na Josephine Majula, Kagera MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Isaya Mbenje, amesema kuwa Serikali itaanza  kutumia vikao vyake  rasmi  kutoa elimu ya huduma...

WIZARA YA UJENZI IMEJIPANGA KURUDISHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA: BASHUNGWA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema wizara kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kufanya matengenezo makubwa kwa lengo la...

TANZANIA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA MASHARIKI

Na Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, Nairobi- Kenya BENKI ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) imeahidi kuendeleza ushirikiano uliopo kati yake na Tanzania kwa kuendelea...

SERIKALI IPO TAYARI KUTOA FEDHA KUREJERESHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIWA NA MVUA

Na Esther Mnyika@Lajiji Digital  NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila amesema wameshafanya tathimini  ya kurejeresha miundombinu iliyoharibiwa na mvua zinahitaji ...

“MIMI MWENYE NYUMBA WAKO APA MBONA SIKU ZINAZIDI?” 12 WAFIKISHWA MAHAKAMANI, WAKABILIWA MASHTAKA 32.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapandisha kizimbani wakazi 12 wa Ifakara, Morogoro akiwemo Barnaba Gidajuri (45) wakikabiliwa na mashtaka ya...

JK KINARA UTAFUTAJI FEDHA ZA KUIMARISHA ELIMU AFRIKA

Na Mwandishi wetu, RAIS Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE)...

MITAMBO YA KUPIMA UBORA WA BARABARA KULETA MAGEUZI: DK. TULIA

Na Mwandishi wetu, Dodoma SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Akson ameisisitiza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) kuhakikisha miradi yote ya barabara...

DK.MPANGO ATOA MAELEKEZO KWA WAHANDISI WASHAURI KUPITIA UPYA MIKATABA YA UJENZI NA UNUNUZI.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema upo umuhimu wa kupitia upya vipengele katika nyaraka zinazoandaliwa na Taasisi ya...

DK.MPANGO ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuzindua Sera ya Taifa ya Uchumi...