TANESCO KINONDONI WAMEZINDUA WIKI YA ELIMU KWAAJILI YA KUISADIA WANANCHI
Na Esther Mnyika
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO ) Mkoa wa Kinondoni Kaskazini imezindua wiki ya elimu kwa umma kwa ajili ya kusaidia wananchi...
TANZANIA KINARA AFRIKA KWA USAMBAZAJI WA UMEME KWA WANANCHI
๐ Tanzania na Benki ya Dunia kushirikiana katika miradi ya nishati
๐Benki ya Dunia yaisadia Tanzania dola milioni 300 kuendelea kuimarisha sekta ya nishati nchini
๐Tanzania...
KUNAMBI AKABIDHIWA OFISI NA JOKATE
Dodoma
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Suzan Kunambi (MNEC) amepokea taarifa rasmi ya makabidhiano ya Ofisi...
DK.MPANGO ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI KONGAMANO LA DIRA YA MAENDELEO 205O
MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la Dira ya Maendeleo 2050 kujadili mustakabali wa nchi litakalofanyika Juni...
NCHIMBI AHITIMISHA ZIARA KWA KISHINDO ARUSHA
Arusha
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa eneo la USA River, Wilaya ya Arumeru,...
SERIKALI YAFANIKISHA KUPATIKANA MAENEO 15 YA UCHIMBAJI KWA WANAWAKE GEITA
-Takriban Wanawake 300 walioahidiwa na Rais Samia kunufaika
-Serikali kulipia Leseni hizo ada zote kwa kipindi cha awali
Dodoma
NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa amesema...
WAKAZI WA KIGOMA WASHAURIWA KUWEKEZA KWENYE HATI FUNGANI ZA SERIKALI
Na Chedaiwe Msuya, Kigoma.
WANANCHI Mkoani Kigoma wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwekeza fedha zao kwa kununua Hati Fungani mbalimbali zinazouzwa na serikali ili iwe moja...
MTIANIA URAIS IFM AITAKA SERIKALI KUTOINGIZA SIASA VYUONI
Dar es Salaam
MTIANIA wa nafasi ya Urais wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Barnabas Samwel amesema kumekuwa...
IDARA/VITENGO VYA MAZINGIRA VYASISITIZWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
๐ Taaasisi za mazingira zatakiwa kuhakikisha mazingira yanahifadhiwa
๐ Kupanda mti pekee haitoshi kutunza mazingira
๐ Kila mtanzania ana jukumu la kuhakikisha anatunza na kuhifadhi mazingira
Dodoma...
PPAA MBIONI KUKAMILISHA KANUNI ZA RUFAA ZA UNUNUZI WA UMMA ZA MWAKA 2024
Dar es Salaam
MAMLAKA ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) ipo katika hatua za mwisho za kupokea maoni ya Kanuni za Rufaa za...