SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI ZOTE ZA KUPIKIA

📌 Yawatoa hofu sekta binafsi kudhani nishati safi ni gesi pekee 📌 Mchango wa gesi asilia nishati safi kuchangia asilimia10 miaka kumi ijayo 📌 Umoja wa...

DK. BITEKO ATETA NA VIONGOZI WA CCM BUKOMBE

📌 Asema uimara wa CCM unatokana na misingi imara iliyowekwa na Waasisi 📌 Amshukuru Rais Dk. Samia kwa fedha za miradi Bukombe 📌 Asisitiza umuhimu wa...

SMART DARASA YAWAFUNGULIA MILANGO WADAU WAPYA WA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KATIKA ELIMU

Na Mwandishi wetu WADAU wa Elimu nchini waaswa kutumia ubunifu mbalimbali kuhakikisha wanaongeza ufaulu na Kurahisisha nyezo za Watoto Mashuleni Kujifunza kwa Kutumia mifumo...

UWT NI JUMUIYA IMARA INAYOTEGEMEWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI-KATIBU WA UWT KUNAMBI

Zanzibar KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania Suzan Peter Kunambi amewataka Wanawake,Wanachama na Viongozi wa Jumuiya hiyo kuwa na Umoja,Mshikamo na...

ELIMU YA FEDHA KUIBUA MABADILIKO YA KIFEDHA KIGOMA

Na Chedaiwe Msuya, KigomaSERIKALI imewataka wananchi kufanya maamuzi mazuri ya matumizi ya kifedha kulingana na malengo waliyojiwekea, ikiwemo kuweka akiba, kupanga matumizi, na kudhibiti...

TANZANIA INA UMEME WA KUTOSHA KUFANYA SHUGHULI ZA KIUCHUMI- DK. BITEKO

📌 Asisitiza hakuna mgawo wa umeme 📌 Amshukuru Rais Samia kuiimarisha Sekta ya Nishati Geita NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa,...

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI TANZANIA ANAYEMALIZA MUDA WAKE

Dar es Salaam Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 09, 2024 amefanya mazungumzo na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Balozi Marco Lombardi ambaye amemaliza...

WABUNGE WAPEWA SEMINA SERA MPYA YA JINSIA

Dodoma NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Azzan Zungu amesema ili kwenda sambamba na utekelezaji wa dhana ya kuwa na Bajeti...

WANANCHI SENGEREMA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA VIZIMBA ILI KUEPUKA MADHARA YA MAMBA

Na Beatus Maganja WANANCHI waishio kandokando ya ziwa Victoria wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamesisitizwa umuhimu wa kuzingatia matumizi ya vizimba vilivyojengwa na Wizara ya...

MAKAMU WA RAIS ATAKA DIRA 2050 ITAMBUE MAHITAJI YA VIJANA

Dar es Salaam MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Mpango amesema Dira 2050 ni muhimu itambue mahitaji ya vijana na kubeba  matamanio yao ili...