wananchi kutembelea banda la Wizara ya Fedha ili kupata elimu.

Na Josephine Majura na Asia Singano WF - Dodoma Wizara ya Fedha imewataka wananchi wa mkoa wa Dodoma kutembelea Banda la Wizara hiyo ili kupata...

Bdi ya Tawa yahimiza maofisa wake kuongeza umahiri ili kuendana na kasi ya uwekezaji...

Na Mwandishi wetu, Serengeti. MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) Meja Jenerali Mstaafu, Hamis Semfuko amewataka Maofisa...

Dk. Biteko kikao kazi ngazi ya mawaziri

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko akiongoza kikao kazi ngazi ya Mawaziri kuhusu uendelezaji wa Bandari nchini. Kikao kazi hicho...

Dk.Gwajima amesema taasisi mbalimbali nchini kuendelea kuwekeza kwa wanawake

Na Mwandishi wetu WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima ametoa rai kwa taasisi mbalimbali nchini kuendelea kuwekeza...

FCS yapongeza miaka mitatu ya Rais Dk.Samia ukuaji wa demokrasia

Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Asasi za Kiraia Nchini (FCS )anayemaliza muda wake wa uongozi Francis Kiwanga, amesema Shirika hilo linajivunia...

Nchimbi Marekani ni rafiki zetu

Na Mwandishi wetu, KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema dhamira ya Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni...

Rais Dk.Mwinyi ajifunza mengi kutoka kwa Hayati Mzee Mwinyi

Na Mwandishi wetu, Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ametaja baadhi ya mambo aliyojifunza kutoka kwa...

Cuba na Tanzania kuimarisha ushirikiano katika maeneo ya kimkakati

Na Mwandishi wetu KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba, nchini...

Kinana Rais Dk.Samia anadhamira ya dhati kufanikisha uchaguzi huru na wa haki

Na Mwandishi wetu  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewahakikishia Watanzania kuwa serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Dkt. Samia...

Rais Dk.Samia kuanza kusikiliza kero za mwananchi mmojammoja

RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza kukutana na wananchi na kusikiliza kero zao lengo likiwa ni kumuenzi kwa vitendo Hayat Rais Ali Hassan Mwinyi...