MONGELLA ZIARANI SHINYANGA
Shinyanga
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba,5 2024 ameanza ziara ya siku saba mkoani Shinyanga.
Lengo kuu la...
WASAJILI WASAIDIZI MIKOA, HALMASHAURI WAPATA MAFUNZO
Dodoma
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amefungua mafunzo ya siku mbili kuwajengea uwezo Wasajili...
TANZANIA KUJIIMARISHA ZAIDI KIDIPLOMASIA – MAJALIWA
Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za...
USHIRIKIANO WA NCHI ZA KIAFRIKA UTHIBITIKE KWA VITENDO – DK. BITEKO
đ Tanzania Kupeleka Walimu wa Kiswahili Namibia
đNdoto za Wanamajumui wa Afrika zatimizwa na Waafrika kwenye Mipango ya Maendeleo ya Elimu, Afya, Kilimo, Uvuvi na...
KISARAWE WASISITIZWA KUTUMIA WATOA HUDUMA RASMI WA FEDHA
Saidina Msangi, WF, Pwani.
MKUU wa wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amewaasa watoa huduma za fedha wilayani humo kuhakikisha kuwa wamesajiliwa kwa kufuata sheria za...
MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA MBALIMBALI WA MWAKA 2024 WATUA BUNGENI.
Dodoma
MWANASHERIAÂ Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amewasilisha mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa...
KAMISHNA WAKULYAMBA ASISITIZA MATUMIZI YA SHERIA NA KANUNI KATIKA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UHIFADHI
Morogoro.
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anaeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba amesisitiza matumizi ya sheria na kanuni katika utekelezaji wa...
KADI JANJA ZA MWENDOKASI ZAZINDULIWA RASMI.
Dar es salaam
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amezindua Mageti janja na Kadi...
DK. BITEKO KUMWAKILISHA RAIS SAMIA NCHINI NAMIBIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, nchini Namibia kumwakilisha Rais...