MONGELLA ZIARANI SHINYANGA

Shinyanga NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba,5 2024 ameanza ziara ya siku saba mkoani Shinyanga. Lengo kuu la...

WASAJILI WASAIDIZI MIKOA, HALMASHAURI WAPATA MAFUNZO

Dodoma NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amefungua mafunzo ya siku mbili kuwajengea uwezo Wasajili...

TANZANIA KUJIIMARISHA ZAIDI KIDIPLOMASIA – MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za...

USHIRIKIANO WA NCHI ZA KIAFRIKA UTHIBITIKE KWA VITENDO – DK. BITEKO

📌 Tanzania Kupeleka Walimu wa Kiswahili Namibia 📌Ndoto za Wanamajumui wa Afrika zatimizwa na Waafrika kwenye Mipango ya Maendeleo ya Elimu, Afya, Kilimo, Uvuvi na...

KISARAWE WASISITIZWA KUTUMIA WATOA HUDUMA RASMI WA FEDHA

Saidina Msangi, WF, Pwani. MKUU wa wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amewaasa watoa huduma za fedha wilayani humo kuhakikisha kuwa wamesajiliwa kwa kufuata sheria za...

MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA MBALIMBALI WA MWAKA 2024 WATUA BUNGENI.

Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amewasilisha mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa...

KAMISHNA WAKULYAMBA ASISITIZA MATUMIZI YA SHERIA NA KANUNI KATIKA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UHIFADHI

Morogoro. NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anaeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba amesisitiza matumizi ya sheria na kanuni katika utekelezaji wa...

KADI JANJA ZA MWENDOKASI ZAZINDULIWA RASMI.

Dar es salaam WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amezindua Mageti janja na Kadi...

DK. BITEKO KUMWAKILISHA RAIS SAMIA NCHINI NAMIBIA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, nchini Namibia kumwakilisha Rais...