TUTAENDELEA KUIMARISHA USALAMA WA NCHI DHIDI YA MAJANGA NA MAAFA-MAJALIWA

Na Mwandishi wetu WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha usalama wa nchi na mipaka yake dhidi ya majanga mbalimbali unaendelea kuimarishwa ili...

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA UMEME MKOANI ARUSHA

*Mradi wagharimu takribani Dola milioni 258 * Kunufaisha nchi zipatazo 13 Na Mwandishi wetu, Arusha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara Mkoani...

PAC Yaridhishwa na Ubora wa Ujenzi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Na Jacquiline Mrisho – Maelezo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mbunge wa Viti Maalum, Naghenjwa Kaboyoka amesema...

PURA Na DMI KUSHIRIKIANA

Na Esther Mnyika Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari Dar es salaam(DMI) katika kuhakikisha inamsaidia...

Rais Dk.Samia aandaa futari kwa viongozi mbalimbali

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Komredi Abdulrahman Kinana, akisalimiana na kuzungumza jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel ...

FCC YAZINDUA MAADHIMISHO SIKU YA KUMLINDA MLAJI DUNIANI

Na Mwandishi wetu TUME ya Taifa ya Ushindani Nchini (FCC) imezindua rasmi Maadhimisho ya Siku ya Kumlinda Mlaji Duniani ambayo imelenga kutoa elimu ya...

RAIS DK.MWINYI ASHUKURU KWA DUA NA KHITMA ZA HAYATI MZEE MWINYI.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewashukuru kwa niaba ya familia Waumini...

WAVUVI WA PWEZA MKINGA WACHEKELEA KUVUA TANI 2.5 KWA SIKU, MWAMBAO,NORAD WAAHIDI NEEMA ZAIDI.

Na Boniface Gideon, MKINGA WAVUVI wa Samaki aina ya Pweza kutoka Vijiji vya Boma Kichakamiba,Boma Subutuni na Moa wameweka historia baada ya kuvua Kilogram.2284...

RAIS DK.SAMIA HATAKI MISUKOSUKO KWA WAFANYABIASHARA

Ataka Watendaji Warasimu wajionee aibu;watimize wajibu 📌 Watumishi wakumbushwa shughuli za Serikali kufanyika Dodoma Na Mwandishi wetu, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,...

DKT. MPANGO AMUAGIZA WAZIRI WA FEDHA KUPITIA KODI YA MAJIKO

Na Josephine Majura na Asia Singano WF Dodoma MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Isdor Mpango amemuagiza Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba kuangalia uwezekano...