REA YA MHESHIMISHA RAIS SAMIA CHEKELEI KOROGWE

Na Veronica Simba - REA, Korogwe WALIMu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chekelei iliyopo kijiji cha Madumu, wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga wamemshukuru Rais...

*DKT. BITEKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA UENDESHAJI MRADI WA EACOP.

Na Mwandishi wetu, TABORA  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati  Dk. Doto Biteko, Leo 27 Machi, 2024, ameshuhudia Utiaji saini mikataba mitatu ya utekelezaji wa...

MHANDISI MASAUNI AZIASA JUMUIYA ZA KIRAIA KUFANYA KAZI KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI

Na Esther Mnyika, Serikali imezitaka jumuiya za kiraia kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni za maadili, uwazi, na uwajibikaji kuhakikisha wanachangia katika maendeleo ya jamii bila...

MIAKA MITATU YA RAIS DK.SAMIA TRC YAJIVUNIA KUKUSANYA ZAIDI YA BILIONI 152.

Na Esther Mnyika KATIKA miaka mitatu ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika sekta ya reli Shirika la Reli Nchini (TRC) linajivunia kukusanya zaidi ya...

TRA YAWANOA BODABODA JUU YA ELIMU YA MLIPA KODI.

Na Mwandishi wetu, Dar es salaam. MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) imetoa semina kwa kundi la Waendesha Pikipiki na Bajaji ili kuwajengea uwezo katika...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI DUA MAALUM ILIYOANDALIWA NA WANAWAKE PEMBA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan, akiwa kwenye Dua Maalum iliyoandaliwa na Wanawake wa Kisiwani Pemba kwa ajili ya kumuombea...

SEKTA YA ELIMU NI WAKALA WA MABADILIKO KIUCHUMI-MAJALIWA

Na Mwandishi wetu ,Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Sekta ya elimu ni wakala wa mabadiliko katika jamii kiuchumi, kiteknolojia na kiutamaduni katika...

DKT. BITEKO MGENI RASMI UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA AFYA YA MSINGI

Na Mwandishi wetu, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati MDkt. Doto Biteko leo Machi, 24 2024 anashiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa...

RAIS DK.MWINYI AHIMIZA KUHIFADHI QURAN NA KUFUNDISHA

Na Mwandishi wetu RAIS na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya kiislamu kuendelea kuhifadhi Quran...

MIRADI YA BARABARA YAFIKIA ASILIMIA 75 HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA- TARURA

Na Mwandishi wetu Singida UTELEKEZAJI wa miradi ya barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida upo hali nzuri kwa asilimia 75 ya miradi yote...