WEZESHENI WATU VYA KUTOSHA WATUMIE GESI KWENYE MAGARI; YASEMA KAMATI YA BUNGE
๐ Yaitaka TPDC kuongeza vituo vya kujaza gesi
๐ Yaitaka pia kuongeza karakana za kuweka mifumo ya CNG
๐ Wizara ya Nishati yaahidi kuendelea kuiwezesha TPDC...
MKANDARASI ATAKIWA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME WA JUA KISHAPU
๐Amtaka Meneja kuhakikisha anawasimamia vema mkandarasi
๐Mradi kuleta tija kwenye upatikanaji wa Umeme
Kishapu, Shinyanga
KAMISHNA wa Umeme na Nishati Jadidifu Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga...
BOT YATAFITI UANZISHWAJI WA SARAFU ZA KIDIJITALI
Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma.ย SERIKALI imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa sasa inaendelea na hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya...
WAJASIRILIAMALI WAIOMBA SERIKALI KUWAPATIA ELIMU YA UJASIRIAMALI
NA JOSEPHINE MAJULA, TABORA
WAJASIRIAMALI wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili waweze kuzalisha...
SERIKALI INAKIONGEZEA UWEZO KITUO CHA KUPOZA UMEME MBAGALA- KAPINGA
๐ Lengo ni kuondoa changamoto ya kukatika umeme Mbagala
๐ Asema mradi wa kupeleka umeme eneo la Kitume - Bagamoyo wafikia asilimia 57
Dodoma
NAIBU Waziri...
WEKENI BEI NAFUU YA GESI KWA WANANCHI -DK.MWINYI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi ameyaomba makampuni ya gesi kutafuta namna ya kuwezesha kupatikana gesi...
RAIS SAMIA KUONGOZA VIKAO VYA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuongoza Vikao Vya Uongozi wa...
MAHIMBALI ASISITIZA GST KUWAFIKIA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI NCHINI
Dodoma
KATIBU Mkuu Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kupanua wigo wa huduma zake ili...
MADINI, TAMISEMI PITIENI SHERIA NDOGO KUONDOA USUMBUFU KWA WACHIMBAJI WADOGO-MAJALIWA
Asema Milango Imefunguliwa kwa Kila Mmoja Kushiriki uchumi wa Madini
Waziri Mavunde Asisitiza Ununuzi wa Helcopter kwa ajili ya Utafiti wa Kina
Dodoma
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri...
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AKUTANA NA UJUMBE WA UMOJA WA ULAYA (EU)
๐ Wajadili Mradi wa Maboresho Sekta ya Nishati (Energy Sector Reform Programme)
๐ Serikali yaeleza ilivyotimiza masharti ya EU ili kupata fedha za Maboresho ya...