WATUMISHI TUME YA MADINI WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MASHINE ZA KUPIMA MADINI YA METALI

Katibu Mtendaji awataka kuendelea kuchapa kazi kwa kujituma na uadilifu Dodoma KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo amewataka watumishi wa Tume kufanya...

RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI- BUMBULI-KOROGWE

Tanga RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesikia kilio cha wananchi wa Bumbuli, mkoani Tanga kuhusu ujenzi wa barabara ya Soni - Bumbuli - Korogwe (km...

RAIS MWINYI : AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA HAYATI MZEE MWINYI

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaongoza viongozi mbalimbali na wananchi katika Dua Maalum ya kumuombea aliyekuwa...

ENDELEZENI MAFUNZO YA DINI -MAJALIWA

▪️Asema ushiriki wa Rais Dkt. Samia kwenye tuzo hizo ni kielelezo cha namna anavyothamini na kuiishi Imani ya Dini ya Kiislam na uhifadhi wa...

WAKANDARASI WASIMAMIWE KUTEKELEZA MIRADI YA NISHATI KWA WAKATI – KAPINGA

📌Aagiza wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradi 📌Awataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi Tanga NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta...

WAZIRI MKUU ASHUHUDIA MAKABIDHIANO YA ZANA ZA KILIMO

▪️Ni mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo kwenye vituo 45 vya zana nchini. ▪️Trekta tano na majembe yake yakabidhiwa. ▪️Asisitiza ni mpango wa Rais...

RAIS DK. MWINYI: SERIKALI ITAENDELEA NA MIKAKATI MBALIMBALI KWAAJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali Itaendelea na mikakati mbalimbali kuhakikisha inawekeza kwa ajili...

RAIS DK.MWINYI: WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KUENDELEA KUWASAIDIA MASIKINI,WAJANE NA YATIMA KATIKA JAMII

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaji Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuweka Mkazo wa...

TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO KATI YAKE NA KUWAIT

Dar es Salaam SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inajivunia ushirikiano wa kidiplomasia uliopo kati yake na nchi ya Kuwait katika biashara, uchumi na...

RAIS MWINYI:SMZ ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWENYE BIMA.

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Kushirikiana na Mamlaka...