DC RUFIJI ALA KIAPO, RC KUNENGE ATOA MAAGIZO

Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewaagiza Wakuu wa Wilaya wa mkoa huo kufanya kazi kwa kushirikiana kulingana na uwezo wao, huku...

BRELA IMEWATA WABUNIFU MAUMBO NA ALAMA ZA BIDHAA KUSAJILI KAZI ZAO.

Dar es Salaam WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wabunifu wa maumbo na alama za bidhaa kusajili  kazi zao ili kuweza...

UADILIFU NA UZALENDO VIWE NGUZO KATIKA UTENDAJI KAZI WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI-WAKILI MPANJU

Dodoma NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju ametoa rai kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuzingatia...

RAIS DK.SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA TISA WA FOCAC

LEO Septemba, 5 2024, Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia mkutano wa tisa wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing. Katika...

WAHITIMU JKT WAAHIDI UZALENDO KWA NCHI ,BAADA YA KUHITIMU MAFUNZO

Kibaha WAHITIMU wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wamemwahidi Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kulinda rasilimali na kujenga uchumi imara wa nchi...

NIC YAIGUSA IDARA YA WATOTO MUHIMBILI KWA MSAADA WA MILIONI 20.

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa vifaa tiba, fenicha pamoja na ukarabati wa kliniki ya watoto wenye thamani ya...

RAIS DK.SAMIA AKIHUTUBIA VIONGOZI FOCAC CHINA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi mbalimbali kwenye Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na...

MONGELLA ZIARANI SHINYANGA

Shinyanga NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba,5 2024 ameanza ziara ya siku saba mkoani Shinyanga. Lengo kuu la...

WASAJILI WASAIDIZI MIKOA, HALMASHAURI WAPATA MAFUNZO

Dodoma NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amefungua mafunzo ya siku mbili kuwajengea uwezo Wasajili...

TANZANIA KUJIIMARISHA ZAIDI KIDIPLOMASIA – MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za...