MAAFISA WA REGROW WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI WA KAZI

Na Mwandishi wetu, Morogoro  MAAFISA wanaotekeleza Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania REGROW wamesisitizwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa...

KIKONGWE AUAWA NA MJUKUU WAKE MOROGORO

Na Mwandishi wetu, Morogoro JESHI la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Waaki Athumani mkazi wa Mzumbe wilayani Mvomero mwenye umri wa miaka 28 kwa tuhuma...

TUMIENI BARAZA LA FCT KUSTAWISHA USHINDANI WA HAKI NA KUMLINDA MLAJI KATIKA SOKO.

Na Mwandishi wetu, Mbeya. KATIBU Tawala Msaidizi wa Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mkoa wa Mbeya, Anna Mwambene amewaasa wafanyabiashara wa Mkoa huo na...

WAZIRI MKUU ASHIRIKI DUA YA KUMUOMBE HAYATI SHEIKH ABEID AMANI KARUME

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki dua ya kumuombea Hayati Sheikh Abeid Amani Karume iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar. Dua hiyo pia...

RAIS DK. SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA MAUAJI YA KIMBARI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Samia Suluhu Hassan akielekea kwenye eneo la Makaburi kwa ajili ya kuweka shada la maua wakati...

MIRADI NANE YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILLION 3.6 INATARAJIWA KUZINDULIWA NA...

Na Ashrack Miraji Mkuu wa Wilaya ya Same Kasilda Mgeni amesema jumla ya miradi nane ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 3.6...

WADAU WATOA MISAADA YA KIBINADAMU RUFIJI

Na Mwandishi wetu,Rufiji MBUNGE wa Rufiji na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameshiriki...

RC CHALAMILA AONGOZA BARAZA LA BIASHARA MKOA

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April, 5 2024 ameongoza baraza la biashara Mkoa wa...

MTENDAJI MKUU TARURA AAGIZA USANIFU UPYA DARAJA LA BIBI TITI MOHAMMED-MOHORO

Na Mwandishi wetu, Rufiji MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff ameagiza timu ya wataalamu wa TARURA Makao...

RAIS SAMIA AKUTANA IKULU NA MJASIRIAMALI MAANAYATA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akimuelezea kuhusu picha ya Mlima Kilimanjaro aliyomzawadia Mjasiriamali Maanayata Dutt ambaye pia ni mke...