WAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU KUHUSU RIBA YA BENKI KUU (CRB).
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MKURUGENZI wa Utafiti na Sera za Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Dk. Suleiman Missango amesema kuwa Riba ya Benki Kuu...
TUENDELEE KUUTHAMNI MUUNGANO WETU-MAJALIWA
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wote, Bara na Visiwani waendelee kuulinda, kuuenzi, kujivunia na kuuthamini Muungano wa Tanganyika na...
SERIKALI KUFUNGUA OFISI ZA FORODHA NYAMISATI-PWANI
Na Josephine Majura, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa inatarajia kufungua Ofisi za Forodha katika Bandari ya Nyamisati mkoani Pwani katika Mwaka wa Fedha 2024/25, baada ya...
WANANCHI WA KIPUNGUNI KULIPWA FIDIA.
Na Josephine Majura , Dodoma SERIKALI imesema kuwa itaanza kufanya malipo ya fidia kwa wananchi wa Kipunguni waliopisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege jijini Dar es...
DK. ABBASI AWATAKA ASKARI WAPYA TFS KUENZI MAADILI, ATAKA UBUNIFU FITI
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
KATIBU wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, leo Aprili 8, 2024, amefungua Semina Elekezi kwa watumishi wa...
WIZARA YA MADINI MBIONI KUZINDUA MINING FOR A BRIGHTER TOMORROW (MBT) – WAZIRI MAVUNDE
STAMICO kuja na Mkakati wa kuzalisha Megawati 2000 za Umeme wa Makaa ya Mawe, Mazungumzo na Mwekezaji yanaendelea
Awataka Watumishi Madini kuongeza Ubunifu ili kukuza...
DK. BITEKO ATAKA WATANZANIA KUMUENZI SOKOINE KWA KUFANYA KAZI
Hayati Sokoine alikuwa mstari wa mbele kukemea rushwa na ufisadi
Anakumbukwa kama kiongozi aliyepigania maendeleo ya taifa.
Dk. Biteko asisitiza Sekta ya Kilimo iwe kimbilio
Na Mwandishi...
RAIS DK.MWINYI ASHUKURU KWA DUA ZA HAYATI MZEE MWINYI
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema familia ya Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi...
ZAIDI YA Sh1.6 BILLIONI KUKAMILISHA MIRADI SITA YA MAENDELEO WILAYANI MWANGA
Ashrack Miraji,Same
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro,Abdallaah Mwaipaya amesema jumla ya miradi Sita ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni...
UPATIKANAJI WA UMEME NCHINI NI WAJIBU WETU WOTE, TUUTEKELEZE IPASAVYO KATIKA MAZINGIRA YOTE
📌Awasihi kuhakikisha wanakagua ubora wa viwango vya kazi zinazofanyika
📌Awasisitiza kulinda vifaa vinavyotoka stoo kufanya kazi iliyokusudiwa ili kupunguza upotevu wa fedha za shirika
📌 Ni...