WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUUSIMAMIA MRADI WA JNHPP IPASAVYO-KAMATI YA BUNGE

📌 Mradi wafikia asilimia 98 📌 Mkandarasi alipwa Sh.Trilioni 6.3 kati ya Sh.Trillioni 6.5 📌 Kapinga aahidi kuendeleza usimamizi makini Na Mwandishi wetu KAMATI ya Kudumu ya...

KIKWETE AMETOA WITO KWA WAHITIMU WOTE NCHINI KUTUMIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI.

Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, ametoa wito kwa wahitimu wote nchini kutumia...

DK. BITEKO AKUTANA NA BALOZI MPYA WA UINGEREZA NCHINI.

📌Tanzania na Uingereza Kuimarisha Ushirikiano katika Sekta ya Nishati Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko Septemba 6, 2024 jijini Dodoma...

MGANGA WA JADI NYASA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI 12 JELA.

Ruvuma MAHAKAMA ya Wilaya ya Nyasa Septemba, 6 2024 imemtia hatiani Mganga wa Kienyeji Andrea Komba (39) kutumikia kifungo cha miezi 12 au kulipa...

GST NA KIGAM YAANZA MAJADILINO YA AWALI KUHUSU TAFITI ZA MADINI MUHIMU (CRITICAL MINERALS)

Dodoma SERIKALI ya Tanzania kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeanza majadiliano ya awali kuhusu mashirikiano na Serikali ya Korea...

TEKELEZENI KWA VITENDO FALSAFA YA 4R YA RAIS DK. SAMIA-MAJALIWA

Kilimanjaro WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka Maafisa waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na viongozi wa vyombo vya usalama wa...

MONGELLA AKUTANA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM SHINYANGA.

Shinyanga NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba 6, 2024, amekutana na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM...

WAZIRI MKUU KUFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WANDAMIZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 06, 2024 amewasili Mkoani Kilimanjaro ambapo atafungua Semina elekezi kwa viongozi waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani...

WAZIRI MKUU ATOA MAELEKEZO UENDESHAJI MRADI WA SGR

Ataka huduma ziboreshwe na usimamizi wa miundombinu uimarishwe Dodoma  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania...

DC RUFIJI ALA KIAPO, RC KUNENGE ATOA MAAGIZO

Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewaagiza Wakuu wa Wilaya wa mkoa huo kufanya kazi kwa kushirikiana kulingana na uwezo wao, huku...