TANESCO YAWAOMBA WANANCHI NA WAKULIMA KUJITOKEZA KWENYE BANDA LAO ILI KUPATA ELIMU

Dodoma SHIRIKA la umeme Nchini (TANESCO) limetoa rai kwa wananchi na wakulima waliopo kwenye maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane kujitokeza kwenye banda lao...

MAJALIWA AKUTANA MWANA WA MFALME, ZAHRA AGA KHAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 3, 2024 amekutana na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Taasisi ya Huduma za Aga Khan, Mwana wa Mfalme,...

DKT. BITEKO AMWAKILISHA MAKAMU WA RAIS IFTARI YA VIONGOZI WA DINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Aprili, 52024 amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri...

PPAA MGUU SAWA KUTOA ELIMU KWA WAZABUNI KATIKA KANDA

Arusha KATIKA jitihada za kuwafikia wadau wa ununuzi wa umma hususan wazabuni, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeweka mkakati wa kutoa...

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA TAASISI ZA DINI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi zote za dini nchini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa mchango kwenye maendeleo ya taifa. Amesema...

SERIKALI IMESEMA SEKTA YA KILIMO NI CHANZO NA MHIMILI MKUBWA KATIKA AJIRA

Esther Mnyika, Dodoma SERIKALI imesema sekta ya kilimo ni chanzo na muhimili mkubwa katika ajira, kwa vijana,ambapo kwa mujibu wa taarifa ya utafiti wa...

TUME YA MADINI YAJIPANGA KUKUSANYA SHILINGI TRILIONI 1

Mhandisi Samamba ataka kuongeza weledi na umoja katika utendaji kazi TANGA Wakati Bajeti Kuu ya Serikali ikitarajiwa kuwasilishwa kesho, Menejimenti ya Tume ya Madini imetakiwa kufanya...

TBS ONGEZENI NGUVU YA UTOAJI HUDUMA KWA WAFANYABIASHARA

Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo amelipongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa utendaji mzuri na kulitaka kuongeza nguvu...

DK. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA 24 WA MAWAZIRI WA FEDHA AFRIKA WANACHAMA WA BENKI...

Na Benny Mwaipaja WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 24 wa Mawaziri wa Fedha na Magavana wa Benki...

WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WALILIA BIMA YA AFYA

Na Mwandishi wetu, Morogoro BAADHI ya wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wanaotoka katika mazingira magumu wameiomba Serikali kuwapatia bima ya Afya ili kuweza...